Vijana wengi waajiriwa bila mikataba
ASILIMIA kubwa ya vijana walioajiriwa bila kuwa na mkataba wa kazi, imebainika wanaridhika na hali hiyo. Hayo yamebainishwa katika utafiti wa kuangalia kipindi cha mpito cha kijana wa kike na wa kiume kuingia katika soko la ajira, uliofanywa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) hapa nchini sambamba na nchi zingine 28 za Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Waajiriwa wengi hufa maskini, tafakari ndugu
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Waajiriwa wapya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo watakiwa kuwa waadilifu
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akiongea kwa msisitizo kuhusu maadili ya Utumishi wa Umma wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Utawala na Menejimenti ya Rasirimali Watu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Barnabas Ndunguru akifafanua jambo wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Wizara hiyo iliyofanyika leo katika Ukumbi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA2y*TAnqNuOvVY1Xic1ZvOJrAl-rtUCBDvATqpv2*8HJqsOnV723FKZ045HwQaG-PmLyiT4qnO*j3GSdpFhAEuA/url.jpg)
VIDONDA VYA TUMBO VINAVYOWATESA WENGI BILA KUJUA!
10 years ago
Mwananchi07 Nov
HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Vijana wengi watamani kujiua Uingereza
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa idadi ya watoto wanaofikiria kujiua imeongezeka ghafla nchini Uingereza hali inayoonyesha kuwepo ongezeko la asilimia 116 kulinganisha na kesi zilizorekodiwa katika kipindi cha kati ya mwaka 2010 na 2011.
Taasisi ya utoaji huduma za ushauri ya childline imeripoti kuwa imepokea simu 34,000 katika kipindi cha kati ya mwaka 2013 na 2014 za vijana wa kiingereza wenye umri wa chini miaka 18 ambao wamekuwa wakifikiria kujiua.
Karibu vijana wote chipukizi 6,000...
10 years ago
Mtanzania26 Mar
‘Vijana wengi hawana nguvu za kiume’
Patricia Kimelemeta na Asifiwe George
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.
Alisema hali hiyo,imesababisha vijana hao kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya...
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure
SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...
10 years ago
Habarileo22 Nov
Membe ahimiza vijana wengi kujifunza mafuta na gesi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ni jukumu la Serikali kuhakikisha nchi inapoelekea katika uchumi wa mafuta na gesi inasomesha vijana wengi zaidi katika sekta hiyo.