HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu
>Ni jambo lililozoeleka kwa sabuni zenye dawa kuuzwa mitaani, badala ya kwenye maduka maalumu. Uuzwaji huu wa kiholela usiozingatia afya ya mtumiaji unaweza kuwa na athari bila muhusika kufahamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya Corona: Trump anakunywa dawa ya hydroxychloroquine kinyume cha maelekezo
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Wafundishana kuendesha kilimo bila wataalamu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zs7KdFGDCC8/VnA68NnOn7I/AAAAAAAIMo0/uccYfCINMuI/s72-c/02.jpg)
Kutoka Ocean Road hadi Muhimbili kuagwa sabuni za kuogea za kufulia, miswaki na dawa za meno kwa watoto wenye matatizo ya kansa waliolazwa hapo na wazazi .
11 years ago
Habarileo07 Aug
Wataalamu wahoji Afrika kutopewa dawa ya Ebola
WATAALAMU wa masuala ya ebola, wamehoji ni kwa nini wafanyakazi wa afya wa Marekani, ndio tu wanaopewa dawa za majaribio. Wataalamu watatu wa masuala hayo, wametaka dawa hizo za majaribio na chanjo, zipewe kwa watu wa Afrika Magharibi, ambako kuna mlipuko wa ugonjwa huo hatari.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Djdbvxnlf_s/VTR379iUWkI/AAAAAAAAIVE/iiMgdt6GLio/s72-c/IMG_9657.jpg)
Simba ina waganga wengi wa kienyeji kuliko idadi ya wataalamu waliopo benchi la ufundi
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/IMG_94331.jpg)
Simba waligoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo walipocheza na Mbeya City jumamosi iliyopita uwanja wa Sokoine
MTANDAO huu kwa muda mrefu sasa umekuwa ukifanya tafiti na kufuatilia mwenendo wa klabu ya Simba katika mechi za ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu.
Mwishoni mwa juma lililopita, Simba ilifungwa magoli 2-0 na Mbeya City fc katika uwanja wa Sokoine, Mbeya na kuifanya klabu hiyo kongwe nchini kuendelea kukaa nafasi ya tatu kwa pointi 35 walizokusanya baada ya kushuka...
11 years ago
Mwananchi09 May
Usugu wa dawa ni hatari kuliko Ukimwi
10 years ago
Habarileo28 Nov
Vijana wengi waajiriwa bila mikataba
ASILIMIA kubwa ya vijana walioajiriwa bila kuwa na mkataba wa kazi, imebainika wanaridhika na hali hiyo. Hayo yamebainishwa katika utafiti wa kuangalia kipindi cha mpito cha kijana wa kike na wa kiume kuingia katika soko la ajira, uliofanywa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) hapa nchini sambamba na nchi zingine 28 za Afrika.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6hhZBgxm7kA/UyaGMLT2BXI/AAAAAAACco8/8Kf8ct1WDsY/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA: Kuchukua mikopo ya biashara bila elimu ya ujasiriamali ni hatari
![](http://1.bp.blogspot.com/-6hhZBgxm7kA/UyaGMLT2BXI/AAAAAAACco8/8Kf8ct1WDsY/s1600/Faidika+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZZ-2lOYlm7A/UyaGMerdQnI/AAAAAAACcpA/ION8tpO2Doc/s1600/Faidika+3.jpg)
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Dawa hizi ni hatari kwa binadamu — TFDA
OLIVER OSWALD NA ESTER MNYIKA, DAR ES SALAAM,
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imeziondoa sokoni na kuzifutia usajili aina tano za dawa zinazotumiwa na binadamu baada ya kugundulika kuwa zina madhara katika mwili wa binadamu.
Sambamba na hatua hiyo, pia imepiga marufuku uingizaji, usambazaji na matumizi ya dawa hizo.
Uamuzi huo ulitangazwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwake Dar es Salaam.
Sillo alisema mamlaka...