Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafundishana kuendesha kilimo bila wataalamu

Kilimo ni sekta muhimu kwa maana kuwa imeajiri zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania. Mojawapo ya matatizo yanayoisumbua sekta hiyo ni kukosekana kwa wagani jamii au waraghabishi (animators) wa masuala ya kilimo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ataka wataalamu wa kilimo kusaidia wananchi

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni SefueKATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wataalamu wa kilimo katika halmashauri kuwa karibu na wananchi ili kuwasaidia kuboresha kilimo na mifugo yao.

 

10 years ago

Mwananchi

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

>Ni jambo lililozoeleka kwa sabuni zenye dawa kuuzwa mitaani, badala ya kwenye maduka maalumu. Uuzwaji huu wa kiholela usiozingatia afya ya mtumiaji unaweza kuwa na athari bila muhusika kufahamu.

 

11 years ago

Michuzi

Wataalamu wa kilimo wilayani Handeni kukutana kuweka mikakati ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara

Na Mohammed Mhina, HandeniWataalamu wa kilimo wilayani Handeni katika mkoa wa Tanga, kesho watakutana kuweka mezani mapendekezo ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara kwa lengo la kuinua kipato cha mwananchi mmoja mmoja wilayani humo.  Mkuu wa wilaya hiyo Bw. Muhingo Rweyemamu, amesema leo kuwa katika mkutano huo, wataalamu hao watapitia itifaki mbalimbali zilizofikiwa na kuanisha zao mbadala kwa biashara kati ya korosho na ufututa ama yote mawili badala ya kutegemea mahindi pekee kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAFUNZI 48 WA CHUO CHA KILIMO NICE DREAM WATELEKEZWA SIKU TANO BILA YA CHAKULA NA CHUO HAKIJASAJIRIWA MBEYA.


Chuo hiki kilizinduliwa mwaka huu na Mh .Frederick Sumaye Waziri mkuu Mstaafu



Moja kati ya mwanachuo aliyezirai kwa njaa akiinuliwa na wasamaria wema kwenda mpatia chakula


Moja kati ya mabweni ya chuo hicho ambapo hulala chini wanafunzi kati ya 10 mapaka 15 kweli taasisi zinazihusika na ukaguzi wa vyuo hivi zipooo?



Hapa wanachuo hao wakipata uji baada ya msamaria mwema kuwapatia uji huo

Wakipata chakula cha mchana baada ya wananchi wa ilemi kuchangia chakula

Baadhi ya wanachama wa chadema...

 

11 years ago

Michuzi

WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza wakati akifungua warsha kwa wataalamu wa kilimo katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete hii leo.  Mwezeshaji kutoka shirika ka TAHA Bw. Isaac Ndamanhyilu akizungumza kwenye warsha hiyo.  Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wataalamu wa kilimo wa kata na vijiji vya wilaya ya Makete.  Wataalamu wakifuatilia mafunzo hayo.   Mwezeshaji Manfred Bitala akiwawezesha washiriki wa warsha hiyo. Na Edwin...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA KILIMO ENDELEVU TANZANIA LAKAMILISHA MTALAA MPYA WA KILIMO,VYUO 29 KUANZA KUUTUMIA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii 
SHIRIKA la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) likamilisha mtaala mpya wa kilimo ambao unatarajiwa kuanza kutumia kwenye vyuo vya mafunzo ya kilimo 29 nchini ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha mtaala huo unaendana na mahitaji ya sasa. 
Akizungumza na waandishi wa habari za kilimohai wakati wa mafunzo maalumu ya kilimo hicho, Meneja wa Mradi wa SAT Mgeta Daud amesema mtaala huo wameufanikisha kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Divisheni ya Mafunzo,...

 

11 years ago

GPL

MBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA

Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…

 

5 years ago

Michuzi

MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL

 Na Mwinyi Mvua PwaniBAADHI wataalamu wa kilimo na mifugo Kibaha, Pwani wamesema bajeti iliyopendekezwa imegusa maslahi ya Mtanzania licha ya kutoa maoni yao kuwa yapo maeneo hayajaguswa kumnufaisha mkulima wa kisasa ikiwemo wataalamu wa ugani wasajiliwe ili kwenda sambamba teknolojia ya kisasa katika kilimo pamoja na kujenga viwanda vingi vya mbolea ndani ya nchi .
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI UFUNGAMANISHAJI SEKTA YA KILIMO NA MIKAKATI YA KUTAFUTA MASOKO

Waziri wa Viwanda na Bishara Mhe Innocent Nashungwa (Kulia) akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi cha kujadili namna ya kufungamanisha uchumi wa Kilimo na Viwanda Jijini Dodoma, leo tarehe 1 Aprili 2020.Mshauri wa masuala ya Maendeleo ya Viwanda vya Kilimo wa Taasisi ya kuendeleza Kilimo Afrika (AGRA) Ndg Peniel Lyimo akichangia mada wakati wa kikao kazi kilichoongozwa na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa cha kujadili namna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani