Msikiti uliohusishwa na itikadi kali za Kiislam sasa ni kituo cha amani
Msikiti wa Masjid Musa uliopokatika mji wa pwani ya Kenya wa Mombasa, ambao wakati mmoja ulihusishwa na itikadi kali za kiislamu, umekua kituo cha maridhiano na amani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 May
Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Vazi la Burqa ladaiwa kuwa la itikadi kali
11 years ago
BBCSwahili26 May
Makundi yenye itikadi kali yavunjwa China
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s72-c/tt.png)
Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali
![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s640/tt.png)
1.0 Utangulizi:
Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3fWxNBT49xC32pOQZhpq9CIFuNll-Hn4A8NwUZJlDZsMnKoXTZ18JpKCjq7lA1EZkfd0OTn0n0e2h43VcR9wSCA117QcQtJ2/watuhumiwa3.jpg)
WAISLAM WENYE ITIKADI KALI UINGEREZA WAHUKUMIWA JELA MAISHA KWA KUUA
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Usafiri kituo cha Ubungo sasa ‘poa’
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani
Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.
Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.
Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...
10 years ago
VijimamboZIMBABWE YAIPA MAJENGO SADC KWA AJILI YA KITUO CHA KUFUNDISHIA WALINDA AMANI