Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adhabu kali kwa Mchina Kenya

Mahakama nchini Kenya imemtoza faini ya dola 230,000 raia mmoja mchina kwa kuhusika na biashara haramu ya pembe za ndovu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Adhabu kali kwa watakaovunja amani na utulivu

Nimekawia hata hivyo sijachelewa, licha ya mapungufu ya technology yamesababisha haya. Tunakaribia kufika ukingoni mwa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015. Alhamdullillah, hadi muda huu hakujawa na matokeo ya kutisha yanayohatarisha amani na usalama wa watu. Tukiwa […]

The post Adhabu kali kwa watakaovunja amani na utulivu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba amuua mwanaye kwa adhabu kali

Simanzi, vilio na majonzi vilitawala Kijiji cha Misiri, Kata ya Bugarama, wilayani Geita, kutokana na tukio la kifo cha mtoto, John Wiliam (4) aliyefariki baada ya kupewa adhabu na baba yake mzazi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Adhabu kali kwa kuwa na watoto 3 China

Serikali ya China imemtoza faini ya zaidi ya dola milioni moja mtengeza filamu mashuhuri nchini humo, Zhang Yimou kwa kwenda kinyume na sera ya mtoto mmoja

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA MWANAJESHI ATOA ADHABU KALI KWA RAIA ALIYEVAA NGUO ZA JESHI

Picha unazoona sio utani wala sinema ni raia wa kawaida akiogelea kwenye dimbwi kwa amri ya mwanajeshi.
Raia huyo alikutana na adhabu kali za mwanajeshi huyo baada ya kukutwa amevaa mavazi halisi ya jeshi la Tanzania maeneo ya Kariakoo Dar es Salaam.Jamaa huyo alipokamatwa na kushindwa kutoa maelezo ya kuridhishaakaamriwa kuvua mavazi hayo na kisha kuaza kutumikia mazoezi ya hatari ..Haya mavazi raia wanayapenda ila kwenda kutumikia jeshi hawataki ...ahahaaa jamaa alichokipata hawezi kutamani...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabakaji wapewe adhabu kali

Suala la kuwabaka wanafunzi haliko tu Kenya bali pia Tanzania na nchi nyingi za Afrika. Tunayo mifano  mingi ya watu wazima wenye uwezo wa kifedha na pia wenye madaraka makubwa ya kiofisi wanaowarubuni wanafunzi  kwa kuwapa pesa kidogo au vitu vidogo vidogo ili  wafanye nao ngono. Hivi karibuni wanafunzi wa sekondari nchini Siera Leone, nchi iliyokumbwa na ugonjwa wa ebola, walikubwa na dhahama hii wakati wakiwa nyumbani baada ya shule kufungwa kwa kipindi kirefu. Wasichana hawa...

 

10 years ago

BBCSwahili

''Pistrorius anastahili adhabu kali''

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius,''anapaswa kupewa adhabu ya kutosha kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp'', binamuye marehemu Reeva ameambia mahakama

 

10 years ago

Mwananchi

Rousseff: Adhabu kali zitawakabili mafisadi

Utawala wa Lula na Dilma Rousseff umeiacha Brazil katika dimbwi la umaskini Brazil, nchi kubwa kabisa kieneo na kwa idadi ya wakazi barani Amerika Kusini, inashikilia nambari ya tano duniani kwa ukubwa kijiografia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tabarez kujiuzulu kufuatia adhabu kali

Oscar Tabarez atajiuzulu wadhfa wake katika kamati za FIFA kupinga adhabu kali dhidi ya Suarez

 

10 years ago

Mwananchi

TPL yaahidi adhabu kali vurugu viwanjani

>Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL), imelaani tukio la vurugu lililofanywa na mashabiki wa klabu ya Simba wakati wa mchezo wa timu hiyo dhidi ya  Kagera Sugar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani