Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba amuua mwanaye kwa adhabu kali

Simanzi, vilio na majonzi vilitawala Kijiji cha Misiri, Kata ya Bugarama, wilayani Geita, kutokana na tukio la kifo cha mtoto, John Wiliam (4) aliyefariki baada ya kupewa adhabu na baba yake mzazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Adhabu kali kwa Mchina Kenya

Mahakama nchini Kenya imemtoza faini ya dola 230,000 raia mmoja mchina kwa kuhusika na biashara haramu ya pembe za ndovu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Adhabu kali kwa kuwa na watoto 3 China

Serikali ya China imemtoza faini ya zaidi ya dola milioni moja mtengeza filamu mashuhuri nchini humo, Zhang Yimou kwa kwenda kinyume na sera ya mtoto mmoja

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Adhabu kali kwa watakaovunja amani na utulivu

Nimekawia hata hivyo sijachelewa, licha ya mapungufu ya technology yamesababisha haya. Tunakaribia kufika ukingoni mwa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015. Alhamdullillah, hadi muda huu hakujawa na matokeo ya kutisha yanayohatarisha amani na usalama wa watu. Tukiwa […]

The post Adhabu kali kwa watakaovunja amani na utulivu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

BABA AMUUA MTOTO KWA CHUPA YA BIA

Stori: Imelda mtema
Masikini wa Mungu! Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25), mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani na kusababisha mshipa mkubwa wa damu kukatika kichwani. Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kuumiza moyo, mama mzazi wa mtoto huyo, Matlida Amon alieleza kuwa tukio hilo lilijiri maeneo hayo...

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA MWANAJESHI ATOA ADHABU KALI KWA RAIA ALIYEVAA NGUO ZA JESHI

Picha unazoona sio utani wala sinema ni raia wa kawaida akiogelea kwenye dimbwi kwa amri ya mwanajeshi.
Raia huyo alikutana na adhabu kali za mwanajeshi huyo baada ya kukutwa amevaa mavazi halisi ya jeshi la Tanzania maeneo ya Kariakoo Dar es Salaam.Jamaa huyo alipokamatwa na kushindwa kutoa maelezo ya kuridhishaakaamriwa kuvua mavazi hayo na kisha kuaza kutumikia mazoezi ya hatari ..Haya mavazi raia wanayapenda ila kwenda kutumikia jeshi hawataki ...ahahaaa jamaa alichokipata hawezi kutamani...

 

10 years ago

GPL

DENTI AMUUA MWANAYE, AMFICHA UVUNGUNI

MWANAFUNZI wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya,  Vena Mtati (27) (pichani) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa kumnyonga, kumtumbukiza kwenye mfuko wa rambo na kuutia ndani ya mfuko wa salfeti kisha kuuficha chini ya kitanda, Uwazi lina habari ya motomoto! Vena Mtati akitahayari baada ya kutiwa mbaloni na polisi. Tukio hilo la kikatili ambalo...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba ajinyonga akidhani amemuua mwanaye kwa kipigo

Mkazi mmoja wa Kijiji cha Bushembe, wilayani Muleba, mkoani Kagera amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kumpiga mwanaye na kumpasua kichwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mganga amuua mwanaye kisa kazaliwa katanguliza makalio

MTOTO Regina Geofrey (miezi 14), ameuawa kwa kunyongwa na baba yake mzazi Geofrey Kilingwa ‘Simbaiwe’ (27), kwa madai alizaliwa akiwa ametanguliza makalio yake. Baba wa binti huyo ambaye pia ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

''Pistrorius anastahili adhabu kali''

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius,''anapaswa kupewa adhabu ya kutosha kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp'', binamuye marehemu Reeva ameambia mahakama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani