DENTI AMUUA MWANAYE, AMFICHA UVUNGUNI
![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmoIpHHjAMbgzgyQrVhxUzS7Y-EcqtdYXCqhfFN3xdOHVPHyVPhJC8DHX-YAoEMqvQjgAQGcK6tTLjQBe0QyzSkl/denti.jpg?width=650)
MWANAFUNZI wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya, Vena Mtati (27) (pichani) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa kumnyonga, kumtumbukiza kwenye mfuko wa rambo na kuutia ndani ya mfuko wa salfeti kisha kuuficha chini ya kitanda, Uwazi lina habari ya motomoto! Vena Mtati akitahayari baada ya kutiwa mbaloni na polisi. Tukio hilo la kikatili ambalo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Baba amuua mwanaye kwa adhabu kali
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Mganga amuua mwanaye kisa kazaliwa katanguliza makalio
MTOTO Regina Geofrey (miezi 14), ameuawa kwa kunyongwa na baba yake mzazi Geofrey Kilingwa ‘Simbaiwe’ (27), kwa madai alizaliwa akiwa ametanguliza makalio yake. Baba wa binti huyo ambaye pia ni...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Mtoto aliyefichwa uvunguni alazwa ICU
9 years ago
Habarileo17 Sep
Mzee auawa, azikwa uvunguni kitandani
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Pascal Luwi (70) , mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kombora Kijiji cha Ubiri Kata ya Mhonda Tarafa ya Turiani wilayani Mvomero na kumzika uvunguni mwa kitanda chumbani mwake.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
‘Mtoto aliyefichwa uvunguni ana nafuu’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeozJCK-3yOlzmxpTC1HcY8zc56PoZP6UJdb*cVzwGWJGOWWVdVwl68iRd6saejJViPrO-EMoIYCmYLZcf5SW71f/mtoto.jpg?width=650)
UNDANI MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA
11 years ago
KwanzaJamii20 Jul
Mtoto afichwa uvunguni kwa miezi mitatu
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Msifiche uvunguni kelele za ufisadi, UKAWA waambiwa
Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini, Mwalimu Mussa Ramadhani Sima, akiomba kura kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika maeneo ya soko kuu mjini Singida.
Mkereketwa maarufu wa CCM jimbo la Singida mjini na mkazi wa Majengo, Mohammed Salum Masanja, akiwa na mtoto wake wa kiume kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika maeneo ya soko kuu. Mohammed amedai kuwa kila mkutano wa kampeni za CCM anahudhuria na mtoto wake ikiwa ni mpango mahususi kumjengea mazingira mazuri mtoto huyo aje...
11 years ago
Mwananchi12 Jul
UKATILI: Mtoto afichwa uvunguni kwa miaka 6 Morogoro