Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msifiche uvunguni kelele za ufisadi, UKAWA waambiwa

SAM_0696

Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini, Mwalimu Mussa Ramadhani Sima, akiomba kura kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika maeneo ya soko kuu mjini Singida.

SAM_0687

SAM_0660

Mkereketwa maarufu wa CCM jimbo la Singida mjini na mkazi wa Majengo, Mohammed Salum Masanja, akiwa na mtoto wake wa kiume kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika maeneo ya soko kuu. Mohammed amedai kuwa kila mkutano wa kampeni za CCM anahudhuria na mtoto wake ikiwa ni mpango mahususi kumjengea mazingira mazuri mtoto huyo aje...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Hoja ya ufisadi yawagawa Ukawa, CCM

Tangu kuzinduliwa kwa kampeni, hoja ya ufisadi imeonekana kuvigawa vyama vikuu vinavyopambana kwa karibu huku mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli akiitumia kama kete muhimu ya kumpatia ushindi na kuwapunguza makali wapinzani wake.

 

10 years ago

Habarileo

‘Msifiche watoto walemavu’

TAASISI ya Tiba ya Mifupa (MOI) imewataka wazazi wenye watoto wadogo wenye matatizo ya miguu na mikono iliyopinda kuachana na mila potofu kwa kuwaficha, badala yake wawahishe hospitali ili kupata matibabu na kukua vizuri.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mtoto aliyefichwa uvunguni ana nafuu’

Hali ya mtoto Devota Malole (7) mwenye ulemavu wa viungo na ambaye inadaiwa alifichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano, imeanza kuimarika lakini bado madaktari wanaendelea kufuatilia afya yake kwa karibu.

 

9 years ago

Habarileo

Mzee auawa, azikwa uvunguni kitandani

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Pascal Luwi (70) , mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kombora Kijiji cha Ubiri Kata ya Mhonda Tarafa ya Turiani wilayani Mvomero na kumzika uvunguni mwa kitanda chumbani mwake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyefichwa uvunguni alazwa ICU

Uchunguzi wa awali wa afya ya mtoto, Devota Malole (7) aliyefichwa ndani ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano na mama yake mzazi aliyefahamika kwa jina la Sarah Mazengo imebainika kuwa mtoto huyo ana utapiamlo mkali, malaria na upungufu wa damu.

 

10 years ago

GPL

DENTI AMUUA MWANAYE, AMFICHA UVUNGUNI

MWANAFUNZI wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya,  Vena Mtati (27) (pichani) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa kumnyonga, kumtumbukiza kwenye mfuko wa rambo na kuutia ndani ya mfuko wa salfeti kisha kuuficha chini ya kitanda, Uwazi lina habari ya motomoto! Vena Mtati akitahayari baada ya kutiwa mbaloni na polisi. Tukio hilo la kikatili ambalo...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge watishwa, waambiwa watajuta

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linawasaka watu wanaosambaza vipeperushi vya vitisho dhidi ya Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, watakaoingia bungeni leo ambapo pia watu hao walichora ukuta wa Jengo la Makao Makuu Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Mwananchi

Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa

Wananchi wa Mtwara, hususan wakulima wa korosho, wametakiwa kuacha unyonge, badala yake wafanye kadri wanavyoweza kuhakikisha haki zao zinaheshimiwa.

 

9 years ago

Habarileo

Vijana waambiwa wawe wabunifu

VIJANA wameshauriwa kuwa wabunifu wa miradi mbalimbali na kufikiri njia mbadala za kujipatia kipato ili kuweza kujiajiri na kuepukana na ajira tegemezi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani