Msifiche uvunguni kelele za ufisadi, UKAWA waambiwa
Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini, Mwalimu Mussa Ramadhani Sima, akiomba kura kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika maeneo ya soko kuu mjini Singida.
Mkereketwa maarufu wa CCM jimbo la Singida mjini na mkazi wa Majengo, Mohammed Salum Masanja, akiwa na mtoto wake wa kiume kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika maeneo ya soko kuu. Mohammed amedai kuwa kila mkutano wa kampeni za CCM anahudhuria na mtoto wake ikiwa ni mpango mahususi kumjengea mazingira mazuri mtoto huyo aje...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Hoja ya ufisadi yawagawa Ukawa, CCM
10 years ago
Habarileo17 Jun
‘Msifiche watoto walemavu’
TAASISI ya Tiba ya Mifupa (MOI) imewataka wazazi wenye watoto wadogo wenye matatizo ya miguu na mikono iliyopinda kuachana na mila potofu kwa kuwaficha, badala yake wawahishe hospitali ili kupata matibabu na kukua vizuri.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
‘Mtoto aliyefichwa uvunguni ana nafuu’
9 years ago
Habarileo17 Sep
Mzee auawa, azikwa uvunguni kitandani
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Pascal Luwi (70) , mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kombora Kijiji cha Ubiri Kata ya Mhonda Tarafa ya Turiani wilayani Mvomero na kumzika uvunguni mwa kitanda chumbani mwake.
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Mtoto aliyefichwa uvunguni alazwa ICU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmoIpHHjAMbgzgyQrVhxUzS7Y-EcqtdYXCqhfFN3xdOHVPHyVPhJC8DHX-YAoEMqvQjgAQGcK6tTLjQBe0QyzSkl/denti.jpg?width=650)
DENTI AMUUA MWANAYE, AMFICHA UVUNGUNI
10 years ago
Habarileo26 Sep
Wabunge watishwa, waambiwa watajuta
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linawasaka watu wanaosambaza vipeperushi vya vitisho dhidi ya Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, watakaoingia bungeni leo ambapo pia watu hao walichora ukuta wa Jengo la Makao Makuu Chama Cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa
9 years ago
Habarileo10 Nov
Vijana waambiwa wawe wabunifu
VIJANA wameshauriwa kuwa wabunifu wa miradi mbalimbali na kufikiri njia mbadala za kujipatia kipato ili kuweza kujiajiri na kuepukana na ajira tegemezi.