Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mtoto aliyefichwa uvunguni ana nafuu’

Hali ya mtoto Devota Malole (7) mwenye ulemavu wa viungo na ambaye inadaiwa alifichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano, imeanza kuimarika lakini bado madaktari wanaendelea kufuatilia afya yake kwa karibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyefichwa uvunguni alazwa ICU

Uchunguzi wa awali wa afya ya mtoto, Devota Malole (7) aliyefichwa ndani ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano na mama yake mzazi aliyefahamika kwa jina la Sarah Mazengo imebainika kuwa mtoto huyo ana utapiamlo mkali, malaria na upungufu wa damu.

 

11 years ago

GPL

UNDANI MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA

Stori: DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo. Mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa...

 

11 years ago

CloudsFM

HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA MIAKA SITA

SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo.
Mashuhuda waliokuwepo wakati wa kufichuliwa kwa mtoto huyo, wakiwemo majirani na wapangaji wa nyumba aliyokuwa akiishi, walisema mpangaji wa chumba hicho, Masumbuko Mkwama (25),...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Mtoto afichwa uvunguni kwa miezi mitatu

Picha na maktaba SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo. Mashuhuda waliokuwepo wakati wa kufichuliwa kwa mtoto huyo, wakiwemo majirani na wapangaji wa nyumba aliyokuwa akiishi, walisema mpangaji wa chumba hicho,...

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Mtoto afichwa uvunguni kwa miaka 6 Morogoro

>Wakati jamii ikiwa bado haijasahau mateso aliyoyapata mtoto Nasra Mvungi na kusababisha  kifo chake, tukio lingine la aina hiyo limetokea katika Kijiji cha Matongola, Tarafa ya Magole Wilaya ya Kilosa, baada ya kubainika mtoto wa miaka sita akiwa amefichwa uvunguni mwa kitanda na kufanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Philip Hughes afariki,Pele ana nafuu

Bendera zinapepea nusu mlingoti kuomboleza kifo cha Philip Hughes aliyefariki jana,naye Abeid Pele anaendelea vyema.

 

10 years ago

Habarileo

'Mtoto wa miaka 10 ana mtoto'

WIMBI la watoto wenye umri chini ya miaka 18 kupata ujauzito limetajwa kuhatarisha uhai wa mama na mtoto wakati wa kujifungua suala ambalo serikali na wadau wengine wameomba kuendelea kuelimisha jamii kudhibiti mimba za utotoni.

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA AJABU AZALIWA KENYA: ANA VICHWA VITATU, MENO NA VIDOLE SITA

Mtoto wa ajabu amezaliwa katika Hospitali ya Garissa nchini Kenya akiwa na vichwa vitatu, meno na vidole sita. (VIDEO NA KTN)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani