‘Mtoto aliyefichwa uvunguni ana nafuu’
Hali ya mtoto Devota Malole (7) mwenye ulemavu wa viungo na ambaye inadaiwa alifichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano, imeanza kuimarika lakini bado madaktari wanaendelea kufuatilia afya yake kwa karibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Mtoto aliyefichwa uvunguni alazwa ICU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeozJCK-3yOlzmxpTC1HcY8zc56PoZP6UJdb*cVzwGWJGOWWVdVwl68iRd6saejJViPrO-EMoIYCmYLZcf5SW71f/mtoto.jpg?width=650)
UNDANI MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA
11 years ago
CloudsFM16 Jul
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA MIAKA SITA
SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo.
Mashuhuda waliokuwepo wakati wa kufichuliwa kwa mtoto huyo, wakiwemo majirani na wapangaji wa nyumba aliyokuwa akiishi, walisema mpangaji wa chumba hicho, Masumbuko Mkwama (25),...
11 years ago
KwanzaJamii20 Jul
Mtoto afichwa uvunguni kwa miezi mitatu
11 years ago
Mwananchi12 Jul
UKATILI: Mtoto afichwa uvunguni kwa miaka 6 Morogoro
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Philip Hughes afariki,Pele ana nafuu
10 years ago
Habarileo23 Oct
'Mtoto wa miaka 10 ana mtoto'
WIMBI la watoto wenye umri chini ya miaka 18 kupata ujauzito limetajwa kuhatarisha uhai wa mama na mtoto wakati wa kujifungua suala ambalo serikali na wadau wengine wameomba kuendelea kuelimisha jamii kudhibiti mimba za utotoni.
11 years ago
GPL09 Dec
MTOTO WA AJABU AZALIWA KENYA: ANA VICHWA VITATU, MENO NA VIDOLE SITA