Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania Bara yaadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa

Rais Jakaya Kikwete akisalimia maelfu ya wananchi waliojitokeza katika sherehe hizo katikauwanja wa Uhuru, jijini Dar bes Salaam.AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa Tanzania Bara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ILO Tanzania yaadhimisha miaka 5 ya kuwawezesha vijana Tanzania kupitia ujasiriamali.

 Naibu waziri wa kazi na ajira, Mheshimiwa Makongoro Mahanga akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wa serikali ya Zanzibar katika mradi wa ujasiriamali, ndugu Ameir Ali Ameir, ambaye ndiye Mkurugenzi wa Ajira kutoka Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma, Zanzibar.Naibu waziri wa kazi na ajira, Mheshimiwa Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari. Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Philippe Poinsot akizungumza wakati wa kongamano.
 Mkurugenzi Mkuu wa ILO Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda...

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim Tanzania yaadhimisha miaka 18 ya kuanzishwa kwake.

 Afisa  Mtendaji Mkuu wa benki ya Exim Tanzania akizingumza na baadhi ya wafanyakazi  pamoja na wateja wa benki hiyo wakati wa hafla fupi iliyoaandaliwa na benki hiyo  kuadhimisha miaka 18 tangu kuanzishwa kwa benki hiyo. Hafla hiyo ilifanyika kwenye makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa juma lililopita. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania pamoja na baadhi ya wateja wa benki hiyo  wakifurahia kwa pamoja wakati wa hafla fupi iliyoaandaliwa na benki ...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA

Katika kuadhimisha miaka 100 ya kuanza kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Tanzania, Ubelgiji, Ugiriki, Iraki, Kenya, Nigeria na Afrika Kusini zimeungana na India katika hafla iliyoendana na uzinduzi wa kitabu cha picha za kumbukumbu za wapiganaji waliofariki kwenye vita hiyo kuanzia mwaka 1914 – 1918.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA



Rais Kikwete akiwa kwenye sherehe hizo.
Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara CCM, Philip Mangula.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick, akisalimiana na waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.Baadhi ya viongozi wa nchi wakiwa jukwaa kuu.
Askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wakitoa heshima kwa Rais Kikwete.
Haya ni maonyesho ya halaiki.
Baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANZANIA BARA ZAFANA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange wakiwasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanzania Bara leo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana DMV

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.   Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland, na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

10 years ago

GPL

SHEREHE YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV‏

 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiingia ukumbini kulia ni Afisa Suleiman Saleh wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mbunge viti maalum CHADEMA, Mhe. Leticia Nyerere.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani