Tanzania Bara yaadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa Tanzania Bara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WvdYgqZgLmA/VUtUMbz4puI/AAAAAAAHV9c/NCeQfjT3BT4/s72-c/6.jpg)
ILO Tanzania yaadhimisha miaka 5 ya kuwawezesha vijana Tanzania kupitia ujasiriamali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WvdYgqZgLmA/VUtUMbz4puI/AAAAAAAHV9c/NCeQfjT3BT4/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VkxBwdbWqY/VUtUO-QMTRI/AAAAAAAHV9s/DQrEk6A8s6s/s640/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SCfl5UO9mmQ/VUtULrk0NuI/AAAAAAAHV9I/j4iGeAtt-Bg/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhkLxmk_m3Y/VUtUOZNj3rI/AAAAAAAHV9w/f_DaOrKcxoU/s640/8.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TUw2p8o3Aw8/VdL9vAcIQaI/AAAAAAAHx-k/utt1emr6pVI/s72-c/18th%2B1.jpg)
Benki ya Exim Tanzania yaadhimisha miaka 18 ya kuanzishwa kwake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TUw2p8o3Aw8/VdL9vAcIQaI/AAAAAAAHx-k/utt1emr6pVI/s640/18th%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KN_t508BOaY/VdL9t3u7gzI/AAAAAAAHx-Y/l7MTc71tEDc/s640/18th%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziTANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA
Katika kuadhimisha miaka 100 ya kuanza kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Tanzania, Ubelgiji, Ugiriki, Iraki, Kenya, Nigeria na Afrika Kusini zimeungana na India katika hafla iliyoendana na uzinduzi wa kitabu cha picha za kumbukumbu za wapiganaji waliofariki kwenye vita hiyo kuanzia mwaka 1914 – 1918.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...
10 years ago
Vijimambo09 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oOGu6BYFmjw/default.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQi5zuU8X8Nb5EfrVvDdMEUpL5fwb87e-*Gw*bap1qVglep5aTSqe2DJy436qJQIymEIUPDsDwUm6i3m0YkxWbJK/MAADHIMISHOYAMIAKA52YAUHURU4.jpg?width=650)
MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANZANIA BARA ZAFANA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange wakiwasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanzania Bara leo.…
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana DMV
Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...
10 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV
Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland, na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...
10 years ago
GPLSHEREHE YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV
 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiingia ukumbini kulia ni Afisa Suleiman Saleh wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mbunge viti maalum CHADEMA, Mhe. Leticia Nyerere.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania