Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wahimizwa ujasirimali

DSC02617

Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,akitoa mada yake ya ufugaji nyuki kwa chakula, uchumi na mazingira kwenye mafunzo yaliyohudhuriwa na wawakilishi 108 wa vukundi vya wafugaji nyuki katika wilaya ya Ikungi.Liana kitaaluma ni mtaalamu wa nyuki.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

SERIKALI   Mkoani Singida, imewahimiza wananchi wa vikundi mbalombali vya ujasiriamali wanaobahatika kupata mafunzo kuyatumia kikamilifu mafunzo hayo,waweze kufanya shughuli za kwa ufanisi zaidi.

Wito huo ulitolewa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Biashara 37,000 zaanzishwa kupitia mradi wa ujasirimali kwa vijana —ILO

0012

Mratibu wa Mpango wa Ujasiriamali na Kukuza Ajira kwa Vijana ndani ya Shirika la kazi Duniani (ILO), Bw Mkuku Luis akitoa hotuba yake wakati akifungua mafunzo ya ujarimali kwa vijana yaliofanyika katika Desemba 19, 2014 jijini Dar es Salaam.(HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON FULLSHANGWEBLOG)

002

Afisa Habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa kitengo cha Mawasiliano (UNIC), Bi Usia Nkhoma Ledama akielezea zaidi kuhusiana na mafuzo hayo kwa vijana

003

Vijana mbalimbali kutoka mkoa wa Dar es Salaam...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana wahimizwa kugombea serikali za mitaa

VIJANA na wakazi wa mji wa Mailimoja Wilaya ya Kibaha, wametakiwa kuachana na tabia ya kubaki kwenye nafasi ya kuwa mashibiki na badala yake washiriki kikamilifu kwenye kuchagua viongozi na...

 

9 years ago

Habarileo

Vijana wahimizwa kwenda na kasi ya Rais Magufuli

MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, amewataka vijana kuunga mkono hatua za Rais John Magufuli kuhimiza kasi ya uwajibikaji katika kazi kuleta maendeleo. Alitoa mwito huo jana mjini hapa alipozungumza na waendesha bodaboda ambao ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Ruhuwiko.

 

10 years ago

Habarileo

Vijana wahimizwa kumcha Mungu kudumisha amani

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Taifa lolote linalotaka kuwa na amani na utulivu lazima liwekeze katika kuhimiza vijana kumcha Mungu.

 

10 years ago

Mwananchi

VIJANA WAHIMIZWA KUJITOLEA KWENYE KAMPENI YA SAFISHA JIJI

Ofisa Afya wa Hospitali ya Temeke, Imani Rajabu  amewataka vijana wa Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam kuwa mstari wa mbele kushiriki katika usafi wa mazingira ya Jiji la Dar es Salaam. Alisema vijana wanapaswa kuwa mfano katika usafi wa mazingira kwa kuanzia ngazi ya familia ili kuonyesha mfano kwa vijana wengine kutunza mazingira pamoja na kuepukana na magonjwa ya mlipuko. Akizungumza na  vijana waliofika katika Hospitali ya Manispaa ya Temeke kusafisha maeneo ya hospitali...

 

10 years ago

GPL

MAMIA YA WATU WAENDELEA KUFUNDISHWA UJASIRIMALI TANDALE!

Mwang'amba akitoa mafunzo. Mwalimu wa Dk. Didas Lunyungu akionesha moja ya kitambaa alichokitengeneza. Mwang'amba akitoa mafunzo.…

 

11 years ago

GPL

ANGELS MOMENT YAENDESHA SEMINA YA UJASIRIMALI DAR LIVE

Sehemu ya wanasemina waliohudhuria. Wasanii wa THT wakinogesha mambo. Bi Aisha Bilal akisoma…

 

11 years ago

GPL

UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA‏

Mshehereshaji Bw. Salum Msellem kutoka Istiqama Radio akitambulisha meza kuu kwa washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja kwa Vijana Visiwani Pemba yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Madungu. Mratibu wa YUNA kisiwani Pemba, Bw. Mohammed Ali, akisoma taarifa ya maendeleo ya vilabu vya Umoja wa Mataifa visiwani humo na changamoto zinazowakabili kwa walezi wa vilabu hivyo.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani