Vijana wahimizwa ujasirimali
Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,akitoa mada yake ya ufugaji nyuki kwa chakula, uchumi na mazingira kwenye mafunzo yaliyohudhuriwa na wawakilishi 108 wa vukundi vya wafugaji nyuki katika wilaya ya Ikungi.Liana kitaaluma ni mtaalamu wa nyuki.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
SERIKALI Mkoani Singida, imewahimiza wananchi wa vikundi mbalombali vya ujasiriamali wanaobahatika kupata mafunzo kuyatumia kikamilifu mafunzo hayo,waweze kufanya shughuli za kwa ufanisi zaidi.
Wito huo ulitolewa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nVDtTS0iEbU/VFn3VHcYMFI/AAAAAAAGvlA/reHiO_70aro/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-05%2Bat%2B1.06.53%2BPM.png)
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Biashara 37,000 zaanzishwa kupitia mradi wa ujasirimali kwa vijana —ILO
Mratibu wa Mpango wa Ujasiriamali na Kukuza Ajira kwa Vijana ndani ya Shirika la kazi Duniani (ILO), Bw Mkuku Luis akitoa hotuba yake wakati akifungua mafunzo ya ujarimali kwa vijana yaliofanyika katika Desemba 19, 2014 jijini Dar es Salaam.(HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON FULLSHANGWEBLOG)
Afisa Habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa kitengo cha Mawasiliano (UNIC), Bi Usia Nkhoma Ledama akielezea zaidi kuhusiana na mafuzo hayo kwa vijana
Vijana mbalimbali kutoka mkoa wa Dar es Salaam...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Vijana wahimizwa kugombea serikali za mitaa
VIJANA na wakazi wa mji wa Mailimoja Wilaya ya Kibaha, wametakiwa kuachana na tabia ya kubaki kwenye nafasi ya kuwa mashibiki na badala yake washiriki kikamilifu kwenye kuchagua viongozi na...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Vijana wahimizwa kwenda na kasi ya Rais Magufuli
MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, amewataka vijana kuunga mkono hatua za Rais John Magufuli kuhimiza kasi ya uwajibikaji katika kazi kuleta maendeleo. Alitoa mwito huo jana mjini hapa alipozungumza na waendesha bodaboda ambao ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Ruhuwiko.
10 years ago
Habarileo06 Apr
Vijana wahimizwa kumcha Mungu kudumisha amani
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Taifa lolote linalotaka kuwa na amani na utulivu lazima liwekeze katika kuhimiza vijana kumcha Mungu.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
VIJANA WAHIMIZWA KUJITOLEA KWENYE KAMPENI YA SAFISHA JIJI
10 years ago
GPLMAMIA YA WATU WAENDELEA KUFUNDISHWA UJASIRIMALI TANDALE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0DhcFPuK3PL4Wmcu96tpnYUQudrnihrH1Hqpmuvj-cavh1DJpbt5ydw2i6dEhnLc6lMMm9bnpIPP4V0Zz7917O/1.jpg?width=650)
ANGELS MOMENT YAENDESHA SEMINA YA UJASIRIMALI DAR LIVE
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_0181.jpg)
UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA