Vijana wahimizwa kugombea serikali za mitaa
VIJANA na wakazi wa mji wa Mailimoja Wilaya ya Kibaha, wametakiwa kuachana na tabia ya kubaki kwenye nafasi ya kuwa mashibiki na badala yake washiriki kikamilifu kwenye kuchagua viongozi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV29 Dec
Waliochaguliwa Serikali za Mitaa wahimizwa kusoma mapato na matumizi.
Na Mbonea Herman, Tanga.
Wenyeviti wa serikali za mitaa wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwasomea wananchi taarifa za mapato na matumizi ili kuondokana na migogoro mingi iliyojitokeza kipindi kilichopita kutokana na kuwepo kwa dosari hiyo.
Wito huo ulitolewa na Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Tanga, Mery Chatanda wakati wa kuwapongeza viongozi wa serikali za mitaa wilaya ya Korogwe mjini mara baada kushinda uchaguzi huo kwa asilimia mia moja.
Viongizi wa serikali za mitaa kutoka vijiji...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wanawake wahimizwa kuwania nafasi uchaguzi serikali za mitaa
WANAWAKE kote nchini wamehimizwa kuacha malumbano na kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Vijana wahimizwa ujasirimali
Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,akitoa mada yake ya ufugaji nyuki kwa chakula, uchumi na mazingira kwenye mafunzo yaliyohudhuriwa na wawakilishi 108 wa vukundi vya wafugaji nyuki katika wilaya ya Ikungi.Liana kitaaluma ni mtaalamu wa nyuki.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
SERIKALI Mkoani Singida, imewahimiza wananchi wa vikundi mbalombali vya ujasiriamali wanaobahatika kupata mafunzo kuyatumia kikamilifu mafunzo hayo,waweze kufanya shughuli za kwa ufanisi zaidi.
Wito huo ulitolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
Habarileo06 Apr
Vijana wahimizwa kumcha Mungu kudumisha amani
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Taifa lolote linalotaka kuwa na amani na utulivu lazima liwekeze katika kuhimiza vijana kumcha Mungu.
9 years ago
Habarileo15 Dec
Vijana wahimizwa kwenda na kasi ya Rais Magufuli
MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, amewataka vijana kuunga mkono hatua za Rais John Magufuli kuhimiza kasi ya uwajibikaji katika kazi kuleta maendeleo. Alitoa mwito huo jana mjini hapa alipozungumza na waendesha bodaboda ambao ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Ruhuwiko.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
VIJANA WAHIMIZWA KUJITOLEA KWENYE KAMPENI YA SAFISHA JIJI