Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawekezaji wa Kichina Tanzania

Wawekezaji wa Kichina nchini Tanzania wamelalamikiwa kufanya biashara za reja reja hali ambayo inadaiwa kuwanyima fursa wenyeji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAWEKEZAJI WA KICHINA WANAVYOCHOMA MISHIKAKI TANZANIA

UWEKEZAJI wa Wachina nchini Tanzania umelalamikiwa na wananchi kwa watu hao  kufanya biashara za rejareja kama vile kuchoma mishikaki, kuuza nguo, simu na vitu vingine mitaani, jambo ambalo linawanyima fursa  wenyeji wasio na uwezo wa biashara kubwa. Katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam si ajabu kukutana na baadhi ya Wachina wakiwa na biashara mikononi kama wafanyabishara wadogo nchini humo maarufu kama...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kichina kufundishwa shuleni Tanzania

Tanzania itaanza kufundisha lugha ya Kichina kama somo katika shule za sekondari hasa kidato cha tano na cha sita.

 

9 years ago

Mwananchi

Wawekezaji wadogo wa Tanzania waukata

Benki ya Exim Tanzania imetangaza uuzaji wa dhamana ya kwanza ya muda mrefu itakayowezesha ushiriki wa wawekezaji wadogo nchini kwa lengo la kupata Sh15 bilioni.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yashauriwa kuwabana wawekezaji

 Ujumbe kutoka Tanzania ukiwa Chuo Kikuu cha Calgary katika jimbo la Alberta nchini Canada.Katika picha kutoka kushoto ni, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa saba), Naibu Waziri TAMISEMI, Kassim Majaliwa (wa tano), Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Ummy Mwalimu (wa sita). Wabunge, Richard Ndasa (wa nne), Deogratias Ntukamazina (wa tatu), Murtaza Mangungu  (wa pili) na Shafin Sumar (wa kwanza kushoto. Wengine (kulia) ni wataalam kutoka Wizara ya Nishati na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yaongoza EAC kuvutia wawekezaji

Tanzania ni nchi ya kwanza kwa Afrika Mashariki katika kuvutia uwekezaji kutokana na sera iliyopo ikiwamo kudhibiti mfumuko wa bei.

 

10 years ago

Vijimambo

WAWEKEZAJI WAMAREKANI WATUA TANZANIA KUTIZAMA FULSA ZA UWEKEZAJI

Baadhi ya Marais,Wenyeviti na Wakurugenzi wa Makampuni mbalimbali ya nchini Marekani waliokuja nchini kwa lengo la kutizama fursa za uwekezaji.Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Washington DC,Suleiman Saleh (katikati) akibadilishana mawazo na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kufua Umeme ya TANASI ,William Crawford.Ziara hiyo inayo ratibiwa na Ubalozi wa Tanzania,Washington DC ni ya siku ambapo wageni hao wataembelea sehemu mbalimbali kujionea fursa za uwekezaji.Afisa Ubalozi wa Tanzaini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji wa nchi 5 za Afrika Mashariki

RC -1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akitoa taarifa ya mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na wakuu wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia  Machi 25 hadi 26 mwaka huu.

Na Aron Msigwa –MAELEZO

Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na Marais wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia  Machi 25 hadi 26 mwaka huu. 

Akitoa taarifa ya mkutano huo Mkuu...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA TANZANIA

 Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB anayeshughulika na huduma ya China Deski, Ibrahim Masahi (kulia), akitoa ufafanuzi kuhusu huduma maalum za kibenki kwa ajili ya kusaidia wafanyabiashara na wawekezaji wa China na Tanzania, wakati wa maonyesho ya bidhaa za China yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.    Baadhi ya wateja wakisoma vipeperushi vyenye taarifa muhimu za Benki ya CRDB kuhusu huduma maalum ya China Deski. Baadhi ya watu waliofika katika banda la CRDB wakati wa maonyesho ya bidhaa za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani