Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano zaidi yafanywa B-Farso

Raia wamekusanyika tena katika mji mkuu wa Burkina Faso kutaka jeshi likabidhi madaraka kwa raia, siyo wajipe wenyewe

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano kadha yafanywa Ukraine

Maandamano yamefanywa katika maeneo kadha ya Ukraine na yamepita salama isipokuwa katika ras ya Crimea

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi

Wanafunzi kati aeneo la Hong Kong wameahidi kuendeleza maandamano iwapo mkuu wa utawala hatajiuzuru.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London

Polisi walivamiwa na waandamanaji, ambao wengine walikuwa wanaharakati wa mrengo wa kulia baada ya maelfu yao waliokuwa wamekusanyika kusema kuwa wanalinda masanamu yasiharibiwe.

 

10 years ago

Habarileo

Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni

VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.

 

11 years ago

Michuzi

SALA KWA WATANZANIA YAFANYWA WESTMINSTER ABBEY, LONDON

Na Freddy Macha
Alhamisi  jioni, Wazalendo na marafiki zao walishiriki misa maalum ya kuiombea Tanzania  ndani ya kanisa mashuhuri  la Westminster Abbey kuadhimisha miaka 50 ya muuungano.
Misa hizi hutayarishwa kila mwaka kwa heshima ya nchi za Jumuiya ya Madola.  Mgeni rasmi alikuwa Balozi wetu Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe, maofisa  ubalozini na wawakilishi wa Jumuiya ya Uingereza na Tanzania (British-Tanzania Society)....
Kwaya ya Chuo cha Lancing, iliimba nyimbo za kizamani za...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani