Maandamano dhidi ya shambulizi kufanyika
Zaidi ya watu milioni moja wanatarajiwa kushiriki kwenye matembezi katika mji mkuu wa ufaransa hii leo kupinga mauaji ya watu 17.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandamano makubwa kufanyika Mexico
Wananchi wa Mexico wamejiandaa kufanya maandamano makubwa kupinga kupotea kwa wanafunzi zaidi ya arobaini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sZCt5hh23i8/U-z22DW52xI/AAAAAAAF_r8/ujzEQXbUJr0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
TAHLISO WAPINGA MAANDAMANO YALIYOPANGWA KUFANYIKA KESHO IJUMAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sZCt5hh23i8/U-z22DW52xI/AAAAAAAF_r8/ujzEQXbUJr0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi
Kumezuka ghasia katika mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji wanaoishtumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Maandamano ya amani dhidi ya kifo cha George Floyd
Mwangalie wa pembeni yako umwambie unampenda, matumaini mapya na mabadiliko ndio yanahitajika sasa.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
George Floyd: Vifo 11 vilivyosababisha maandamano dhidi ya polisi Marekani
Kifo cha George Floyd, ambacho video zake zilisambaa zikionyesha polisi akimkaba shingoni mwake na baada ya muda mfupi akafariki. Raia weusi wako katika hatari ya kuuwawa mara tatu zaidi ya watu weupe, takwimu zinaeleza.
5 years ago
CCM Blog30 May
MAANDAMANO MAKUBWA KUFUATIA JINAI ZA POLISI WA MAREKANI DHIDI YA WAMAREKANI WEUSI
![Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi](https://media.parstoday.com/image/4bv9fbe534bf5f1nuyd_800C450.jpg)
11 years ago
GPLTAMASHA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KUFANYIKA DAR
Mkurugenzi wa Zion Foundation, Junior Zion, na mratibu wa tamasha, Karen Dolah, wakizungumza mbele ya waandishi wa habari ( hawapo pichani).
Waandishi wa habari wakiwasikiliza viongozi wa Zion Foundation.…
5 years ago
Michuzi21 Apr
MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KUFANYIKA APRILI 22,2020
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.
Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania