TAHLISO WAPINGA MAANDAMANO YALIYOPANGWA KUFANYIKA KESHO IJUMAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sZCt5hh23i8/U-z22DW52xI/AAAAAAAF_r8/ujzEQXbUJr0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Makamu Mwenyekiti wa TAHLISO Abdi Mahmoud Abdi akizungumza na Waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar kuhusu kukanusha Taarifa ya Maandamano yaliyopangwa kufanyika hapo kesho. Picha na Makame MshengaNa Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu TAHLISO limekanusha Taarifa zilizosambazwa katika Vyombo vya habari na Mitandao ya Kijamii juu ya kuwepo wa maandamano ya Wanafunzi wa Vyuo vikuu yanayotarajiwa kufanyika hapo kesho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqar-DStuMUKPggOwnVEtvmnB825*WQu47yKEU3Br0T1db3eWugD768vZ-Dguv5jnv97sxXjL0VlUv6aYxNJbHdpN/kamanda.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wapinga marufuku ya maandamano Nigeria
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Maandamano dhidi ya shambulizi kufanyika
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandamano makubwa kufanyika Mexico
10 years ago
Michuzi25 Jun
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Tamasha kubwa la taarab ‘Usiku wa Mswahili’ kufanyika Ijumaa hii ya Aprili 24
Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la ‘Usiku wa Mswahili’ kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam.
“Karibuni katika Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa kiingilio cha sh 10,000 na sh 20,000 kwa VIP”.
Aidha, mwagwiji...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Tuzo za BBLA kufanyika kesho
TUZO za Bodi za wakurugenzi yenye uongozi bora katika sekta ya kibenki na bima zijulikanazo kama Best Board Leadership (BBLA) zinatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kesho, ambapo taasisi saba zitashiriki katika tuzo hizo.