Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano makubwa yafanyika Ujerumani

Maandamano makubwa yamefanyika nchini Ujerumani kwa wanaopinga na kuunga mkono uislamu na wahamiaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani

Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yafanyika Venezuela

Maelfu ya watu wamefanya maandamano nchini Venezuela wakitaka kuachiliwa kwa viongozi wa upinzani

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yafanyika nchini Venezuela

Polisi nchini Venezuela wakabiliana na waandamanaji wa upinzani katika barabara za mji mkuu wa Carcas

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika

Maelfu ya watu wameandamana nchini Jamhuri ya kidemorasi ya Congo wakimpinga rais wa taifa hilo Joseph Kabila.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mikutano ya Pegida yafanyika Ujerumani

Kumekuwa na mikutano ya hadhara nchini Ujerumani ya kupinga na kuunga mkono maadhimisho ya mwaka wa kwanza tangu kuanzishwa kwa Pegida.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa kufanyika Mexico

Wananchi wa Mexico wamejiandaa kufanya maandamano makubwa kupinga kupotea kwa wanafunzi zaidi ya arobaini

 

10 years ago

Mtanzania

Maandamano makubwa Burundi leo

Pierre-NkurunzizaNa Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...

 

11 years ago

Michuzi

MAPINDUZI MAKUBWA YAFANYIKA KWENYE BIASHARA YA MTANDAO


Kwa mara nyingine napenda kuwashirikisha mtandao wa kitanzania ulio na nia ya kuwakomboa wafanyabiashara wadogo,wa kati na wakubwa katika kuwafikia wateja wao kwa ukaribu zaidi. Pia  kupitia mtandao huu utaweza kutangaza chochote unachopenda umma ujue kwani tumethibitika kuwafikia watanzania wengi kwa siku pia hata watembeleaji wengi zaidi toka nchi za nje.
Timu ya  KAJO ITECH Kwa umakini mkubwa itaendesha mtandao huu wa CHOCHOTE pia kufanikisha kuwa ndio suluhisho kwa watanzania wengi...

 

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO YA KULAANI UKATILI WA POLISI YA MAREKANI YAFANYIKA KENYA NA NIGERIA

Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, NigeriaMiji mikuu ya Kenya na Nigeria jana ilishuhudia maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na mauaji ya George Floyd, raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika aliyeuliwa kikatili na polisi mmoja mzungu katika mji wa Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani wiki iliyopita.Katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi waandamanaji walikusanyika nje ya ubalozi wa Marekani jijini hapo huku wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali za kulaani jinai hiyo. Baadhi ya mabango hayo yalikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani