Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Musharaf huru kuondoka Pakistan

Mahakama moja nchini Pakistani imemruhusu rais wa zamani Pervez Musharraf kuondoka nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba

Kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi. Said Ally, Dar es Salaam
RASMI! Baada ya kutokea sintofahamu kwa takribani mwezi mmoja, hatimaye Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetoa tamko kwamba kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, kwa sasa yupo huru kutokana na klabu hiyo kuuvunja mkataba wake. Kwa muda wote huo, Simba ilikuwa kwenye mgogoro wa...

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Abiria 43 wauawa Pakistan

Watu waliokuwa kwenye pikipiki wawapiga risasi abiria 43 waliokuwa njiani kwenda kuabudu huko Pakistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 50 wauawa Pakistan

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India

 

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

9 years ago

TheCitizen

Is it boom or dust for Pakistan?

A glossy highway and hundreds of lorries transporting Chinese workers by the thousands: the new Silk Road is under construction in northern Pakistan, but locals living on the border are yet to be convinced they will receive more from it than dust.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan yaibua vipaji

Na sasa Saania na Muqqadas wanataka kuizunguka dunia ,huku wakiwa na matumaini ya kuonana na Justin Bieber na kuimba pamoja naye.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 12 wamenyongwa Pakistan

Pakistan imewanyonga watu 12 kutoka magereza tofauti kote nchini saa chache tu tangu amri ya kurejesha hukumu ya kifo kuidhinishwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani