TFF: Messi ni mchezaji huru
Utata uliogubika mkataba wa Ramadhani Singano dhidi ya timu yake ya Simba ,umefikia tamati baada ya TFF kusema yuko huru .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba
10 years ago
GPL
LIONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Messi mchezaji ghali zaidi duniani
5 years ago
BBCSwahili28 May
Jadon Sancho: Je mchezaji huyu ana kipaji cha kurithi mikoba ya Messi
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sakata la Messi latinga TFF
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAKATA la winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, akidai mkataba wake umechezewa na klabu yake hiyo sasa limefika rasmi kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili utata wake kumalizwa.
Messi amekuwa na mvutano mkubwa na klabu yake akidai mkataba wake wa miaka miwili umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Wanasoka Tanzania...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
TFF yachemsha kwa Messi, Banda, Okwi
10 years ago
TheCitizen08 Jul
SOCCER: TFF: ‘Messi’ free to leave giants Simba
10 years ago
Vijimambo09 Jun
NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...