ORODHA YA WAJUMBE KAMATI ZA TFF
![](http://3.bp.blogspot.com/-koFXPKO8voI/UvYCW-zfQyI/AAAAAAAFLuc/f-XLS52jYV8/s72-c/New+Picture+(6).bmp)
JUDICIAL ORGANS, INDEPENDENT & STANDING COMMITTEES TFF
BOARD OF TRUSTEES; Said Hamad El-Maamry, Stephen Mashishanga, Dr Ramadhan Dau, Joel Bendera, Mohamed Abdul Aziz
Kamati ya Nidhamu; Tarimba Abbas (Mwenyekiti), Advocate Jerome Msemwa (Makamu Mwenyekiti), Kassim Dau, Nassoro Duduma, Kitwana Manara.
Kamati ya Rufani ya Nidhamu; Profesa Mgongo Fimbo (Mwenyekiti), Advocate Hamidu Mbwezeleni (Makamu Mwenyekiti), Titus Bandawe, Twaha Mtengera, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) mstaafu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Wajumbe wa Kamati ya Sheria TFF balaa
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-MjeoJgNE4/default.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Aug
TFF yatangaza orodha ya waamuzi wa semina
KAMATI ya waamuzi imetangaza orodha ya waamuzi watakaoshiriki kwenye semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza Agosti 21- 25, 2015 jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi05 May
Wajumbe TFF wakataa timu 16
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Kamati za TFF
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wajumbe wapata hofu kamati za bunge
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuwa na hofu kwa madai kuwa kamati zilizoundwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, zinalenga kutoa nafasi kwa wenyekiti wa...
9 years ago
Michuzi16 Sep
MABADILIKO YA KAMATI NDOGO ZA TFF
![](http://tff.or.tz/images/usajili.png)
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Blassy Kiondo aliyekua Mwenyekiti wa Kamati ya Soka la Wanawake ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Soka la Ufukweni na Sakafuni (Beach Soccer and Futsal).
Amina Karuma ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Wanawake nchini (TWFA) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji aliteuliwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cLmxRny4Kcw/VH_2K8J0w1I/AAAAAAAG1Fo/o9PL5mg8qfw/s72-c/TASWALOGO.jpg)
KAMATI YA KUSIMAMIA TUZO ZA TASWA YATOA ORODHA YA WANAMICHEZO WANAOWANIA TUZO HIZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cLmxRny4Kcw/VH_2K8J0w1I/AAAAAAAG1Fo/o9PL5mg8qfw/s1600/TASWALOGO.jpg)
Usiku wa Tuzo utafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku...