Kamati za TFF
Kamati ya Utendaji  ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) imefanya mabadiliko katika kamati zake ndogondogo na zile za kisheria za shirikisho hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-koFXPKO8voI/UvYCW-zfQyI/AAAAAAAFLuc/f-XLS52jYV8/s72-c/New+Picture+(6).bmp)
ORODHA YA WAJUMBE KAMATI ZA TFF
![](http://3.bp.blogspot.com/-koFXPKO8voI/UvYCW-zfQyI/AAAAAAAFLuc/f-XLS52jYV8/s1600/New+Picture+(6).bmp)
9 years ago
Michuzi16 Sep
MABADILIKO YA KAMATI NDOGO ZA TFF
![](http://tff.or.tz/images/usajili.png)
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Blassy Kiondo aliyekua Mwenyekiti wa Kamati ya Soka la Wanawake ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Soka la Ufukweni na Sakafuni (Beach Soccer and Futsal).
Amina Karuma ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Wanawake nchini (TWFA) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji aliteuliwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s72-c/tff-logo-230x130.jpg)
TFF YAUNDA KAMATI YA USHAURI YA LIGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s1600/tff-logo-230x130.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Alhaj Ahmed Mgoyi na katibu wa Kamati ni mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi nchini (TPLB) na wajumbe wengine saba.
1. Alhaji Ahmed Idd Mgoyi (Mwenyekiti)2. Boniface Wambura (Katibu)3. Kennedy Mwaisabula- Mjumbe4. Idd Mshangama- Mjumbe5. Amiri Mhando- Mjumbe6. Grace Hoka- Mjumbe7. Ibrahim Kaude (Vodacom)- Mjumbe8. Baruan Muhuza...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Wajumbe wa Kamati ya Sheria TFF balaa
9 years ago
Michuzi15 Oct
TFF YAUNDA KAMATI YA TAIFA STARS
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/VDWXDz51q26oe_9JNibFJZXIod4Vn1gVggGo3yWDMM_pJDRgmYtxnollbmcZR9xQ4D9nR3OezpqXClM8jw=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/malinziArst.png)
Katika kuimarisha maandalizi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) kuelekea katika mashindano mbalimbali ikiwemo mechi mbili za ugenini na nyumbani dhidi ya Algeria, Rais wa TFF Jamal Malinzi ameunda kamati maalum itakayoitwa “Kamati ya Taifa Stars” ambayo majukumu yake yatakua:(i) Kuimarisha huduma kwa wachezaji,(ii) Uhamasishaji na Masoko,(iii) Kuhamasisha wachezaji,(iv) Kuandaa na kusimamia mkakati wa Ushindi.
Kamati hii itaongozwa na Mwenyekiti Farough Baghouzah, Teddy Mapunda (Katibu), Wajumbe...
9 years ago
Habarileo17 Nov
TFF, Kamati Taifa Stars zatofautiana
SHIRIKI la Soka Tanzania (TFF) na Kamati ya Taifa Stars zimetofautiana katika kauli zao kuhusu kiasi cha fedha watakachopewa wachezaji baada ya kutoka sare ya 2-2 na Algeria Jumamosi. Taifa Stars na Algeria zilipambana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kusaka nafasi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Dunia.
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF