Wajumbe wapata hofu kamati za bunge
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuwa na hofu kwa madai kuwa kamati zilizoundwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, zinalenga kutoa nafasi kwa wenyekiti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Bunge lawatia hofu wajumbe
BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Katiba, wameonyesha wasiwasi wao namna mijadala itakavyoendeshwa na upatikanaji wa Katiba Mpya. Akizungumza na Tanzania Daima, Job Ndugai, alisema idadi ya wajumbe 629 ni...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Bunge kusuasua kwawatia hofu wajumbe
>Wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, wameonyesha wasiwasi wao kwa bunge hilo kumaliza shughuli zake ndani ya siku 70 kutokana na namna lilivyoanza kwa kusuasua.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Kamati #Bunge la #Katiba zaongezewa muda, wajumbe waonesha wasiwasi [VIDEO]
MWENYEKITI wa muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho amesogeza mbele kuanza rasmi kwa vikao vya bunge hilo baada ya Kamati ya Kanuni kuomba kuongezewa muda zaidi kukamilisha kazi iliyopewa.
5 years ago
MichuziWAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA NJE, ULINZI NA USALAMA WATEMBELEA JENGO LA WIZARA LILILOPO MTUMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nje, Ulinzi na Usalama walipofanya ziara ya kikazi kwenye Jengo la Wizara lililopo Mtumba jijini Dodoma tarehe 15 Machi 2020
Mhe. Prof. Kabudi akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya NUU
Wajumbe wa Kamati ya NUU akiwemo Mhe. Vuai Nahodha (kulia) wakimsikiliza Prof. Kabudi (hayupo pichani). Kushoto ni Mhe. Augustino Masele.
Wajumbe...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jCfLAQe5Xq4/UxdUzagPmqI/AAAAAAAFRTo/nij5QXGgzbE/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HF6tF1v14vk/UxdU1iUHNvI/AAAAAAAFRTw/GZqAyefgfRw/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jcpvCHCvNts/UxdWAL7446I/AAAAAAAFRT8/ZYkR1Xoqsco/s1600/unnamed+(46).jpg)
5 years ago
MichuziZIARA YA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA BAJETI – MAKAO MAKUU YA KAMPUNI YASIGARA TANZANIA (TCC Plc.)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s72-c/1.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAHIMIZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUHUDHURIA VIKAO NA KUSHIRIKI KATIKA MIJADALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s1600/1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema,Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania