ZIARA YA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA BAJETI – MAKAO MAKUU YA KAMPUNI YASIGARA TANZANIA (TCC Plc.)
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC Plc.), Bw Michael Bachan (wa pili kulia –waliosimama) akiwakaribisha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Bajeti pamoja na maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam wakati wajumbe hao walipofanya ziara hivi karibuni ili kufahamu ufanisi wa mfumo wa stempu za kodi za kielektroniki (Electronic Tax Stamp – ETS) unaotumiwa na kampuni hiyo.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M8-AdoWky8g/UuuNMuwcfwI/AAAAAAACZsU/VFk62pyec08/s72-c/New+Picture.png)
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora yatinga Makao makuu ya TASAF
![](http://2.bp.blogspot.com/-M8-AdoWky8g/UuuNMuwcfwI/AAAAAAACZsU/VFk62pyec08/s1600/New+Picture.png)
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA KUPOKEA TAARIFA YA MRADI WA UJENZI MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jXtnJTM2doQ/XnJOZKxw_jI/AAAAAAALkWQ/jDWWERpQ8ogJRG12JhCm552lYV3rcZ1RQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s72-c/IMG_0150.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL) NA OFISI ZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s1600/IMG_0150.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gTOybU_8IKg/Uuvh8M2TXuI/AAAAAAAFJ_A/s8CPhZkYNU4/s1600/IMG_0164.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdSExD2wGJI/Uuvh9I_3XZI/AAAAAAAFJ_M/a5VS5pahAXk/s1600/IMG_0190.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMATI YA BUNGE YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, NA KUFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3B-lTuuefQ8/VQKk8R8xLBI/AAAAAAAAEgc/bUYviJjbG_o/s72-c/PSPF6.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, WAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3B-lTuuefQ8/VQKk8R8xLBI/AAAAAAAAEgc/bUYviJjbG_o/s1600/PSPF6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ekhd9ojm3UY/VQKk6fmqFiI/AAAAAAAAEgU/3uewfKuAH68/s1600/PSPF2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zisQwizwgvs/VQKk9rDYAAI/AAAAAAAAEgk/8UJTBAMhBtw/s1600/PSPF3.jpg)
10 years ago
GPLKAMATI YA BUNGE YA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, WAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA
5 years ago
Michuzi13 Feb
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wameelezea kufurahishwa na ufanisi wa utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa Hazina
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-1-10.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-2-8.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KASHFA YA ESCROW ZAMNG’OA CHENGE RASMI...ATANGAZA KUACHIA NAFASI YA UWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI
![PIX 3.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/PIX-3.-1024x780.jpg)
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala iliyofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta...