Epuka kampuni hii ya kitapeli
SOCIAL Company inayojinasibu kutoa mikopo nafuu isiyokuwa na riba kupitia mfuko wake maalum ujulikanao kama Social Credit & Loans, imegundulika kuwa ya kitapeli. Kampuni hiyo imekuwa ikitumia majina ya watu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
‘Epukeni tiba za kitapeli’
MKURUGENZI wa Kitengo cha Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Poul Mhare, amewataka wananchi kujiepusha na matapeli wanaoweka mabango barabarani na kujifanya wanatibu magonjwa mbalimbali kwa tiba asilia. Alitoa kauli...
9 years ago
Bongo526 Nov
Belle 9 apata dili ya kwanza ya ubalozi wa kampuni hii
![Belle ubalozi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Belle-ubalozi2-300x194.jpg)
Wiki iliyopita muimbaji wa Rnb, Belle 9 alipost picha akisaini mkataba ambao kwa wakati ule hakuweka wazi ni wa kitu gani. Lakini sasa ameweka wazi kuwa ulikuwa ni mkataba wa ubalozi wa Owbaz.com.
Mafanikio haya yanakuja baada ya Belle kuanza kufanya kazi chini ya kampuni yake ya Vitamin Music inayosimamia kazi zake zote kwa sasa.
Mafanikio mengine ambayo Belle ameyapata toka abadili mfumo wake wa kufanya kazi ni pamoja na video yake ya ‘Shauri Zao’ kuanza kuchezwa na vituo vya nje...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Dk. Ndumbaro epuka soka fitna uchaguzi Simba
KARIBUNI Wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada ni Jumatatu nyingine tena tunakutana kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Wiki iliyopita,...
11 years ago
Habarileo25 Jul
‘Kuweni macho na taasisi za mikopo za kitapeli’
WANANCHI wametahadharishwa na utapeli unaofanywa na baadhi ya taasisi hewa hapa nchini zinazodai kutoa mikopo kwa wananchi kwa njia ya simu za mikononi.
11 years ago
Habarileo10 Apr
TCRA Foundation yafutwa mtandaoni, ni ya kitapeli
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifuta kwenye mtandao taasisi inayodaiwa kuwa ya kitapeli iliyokuwa ikitumia jina la ‘TCRA Foundation’ ikidai inatoa mikopo.
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Rais Magufuli, epuka viatu vya waliokutangulia utaharibikiwa
TUMEJIONEA na kuthibitisha wenyewe wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita, jinsi umma wa Kit
Joseph Mihangwa
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Sema Ghana wametisha sana na hii kampuni inayotengeneza magari.. ( picha 14 )
Pamoja na hizi picha zaidi ya kumi kwenye hii post, inabidi ufahamu haya mambo matatu ya hii kampuni ya raia wa Ghana ambayo imeanza kupata mapokezi mazuri kwenye biashara ambayo ni mpya kwenye bara la Afrika, nchi ya Afrika inayounda magari. Kampuni inaitwa Kantanka Group na mpaka sasa wanaweza kutengeneza magari mapya mia moja kila […]
The post Sema Ghana wametisha sana na hii kampuni inayotengeneza magari.. ( picha 14 ) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SGVXPbPiFl0/VVkKE_vYzUI/AAAAAAAHX0M/kZ9HONr3Jtg/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: GHARAMA NDOGO KABISA YA KUSAJILI KAMPUNI HII HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGVXPbPiFl0/VVkKE_vYzUI/AAAAAAAHX0M/kZ9HONr3Jtg/s320/1.1774256.jpg)
Zipo biashara ambazo watu wengi bado wanazifanya nje ya kampuni lakini ukweli ni kuwa biashara hizo kwa ulimwengu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7LAJHXGpxNg/VfuVq8a__nI/AAAAAAAH5rg/7PiDTF1TpC0/s72-c/New%2BPicture.bmp)
WANAWAKE:JIVUNIE KURA YAKO NDANI YA JAMII EPUKA MCHEPUKO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7LAJHXGpxNg/VfuVq8a__nI/AAAAAAAH5rg/7PiDTF1TpC0/s320/New%2BPicture.bmp)
Tumepata nafasi ya pekee mwanamke kuwa Makamu wa Rais,Mama Samia anafahamu fika matatizo ya mwanamke ndani ya familia,hivyo kwa mara ya kwanza huu ni ukombozi kwa mwanamket .
Tumepata mtetezi katika ngazi ya juu kwa sababu siku zote mwanamke ndie anayehusika zaidi na mambo ya familia , huku Nchini Marekani na nchi ...