Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Epuka kampuni hii ya kitapeli

SOCIAL Company inayojinasibu kutoa mikopo nafuu isiyokuwa na riba kupitia mfuko wake maalum ujulikanao kama Social Credit & Loans, imegundulika kuwa ya kitapeli. Kampuni hiyo imekuwa ikitumia majina ya watu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Epukeni tiba za kitapeli’

MKURUGENZI wa Kitengo cha Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Poul Mhare, amewataka wananchi kujiepusha na matapeli wanaoweka mabango barabarani na kujifanya wanatibu magonjwa mbalimbali kwa tiba asilia. Alitoa kauli...

 

9 years ago

Bongo5

Belle 9 apata dili ya kwanza ya ubalozi wa kampuni hii

Belle ubalozi2

Wiki iliyopita muimbaji wa Rnb, Belle 9 alipost picha akisaini mkataba ambao kwa wakati ule hakuweka wazi ni wa kitu gani. Lakini sasa ameweka wazi kuwa ulikuwa ni mkataba wa ubalozi wa Owbaz.com.

Belle ubalozi2

Mafanikio haya yanakuja baada ya Belle kuanza kufanya kazi chini ya kampuni yake ya Vitamin Music inayosimamia kazi zake zote kwa sasa.

Belle ubalozi3

Mafanikio mengine ambayo Belle ameyapata toka abadili mfumo wake wa kufanya kazi ni pamoja na video yake ya ‘Shauri Zao’ kuanza kuchezwa na vituo vya nje...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndumbaro epuka soka fitna uchaguzi Simba

KARIBUNI Wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada ni Jumatatu nyingine tena tunakutana kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Wiki iliyopita,...

 

11 years ago

Habarileo

‘Kuweni macho na taasisi za mikopo za kitapeli’

WANANCHI wametahadharishwa na utapeli unaofanywa na baadhi ya taasisi hewa hapa nchini zinazodai kutoa mikopo kwa wananchi kwa njia ya simu za mikononi.

 

11 years ago

Habarileo

TCRA Foundation yafutwa mtandaoni, ni ya kitapeli

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifuta kwenye mtandao taasisi inayodaiwa kuwa ya kitapeli iliyokuwa ikitumia jina la ‘TCRA Foundation’ ikidai inatoa mikopo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Rais Magufuli, epuka viatu vya waliokutangulia utaharibikiwa

TUMEJIONEA na kuthibitisha wenyewe wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita, jinsi umma wa Kit

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

MillardAyo

Sema Ghana wametisha sana na hii kampuni inayotengeneza magari.. ( picha 14 )

Pamoja na hizi picha zaidi ya kumi kwenye hii post, inabidi ufahamu haya mambo matatu ya hii kampuni ya raia wa Ghana ambayo imeanza kupata mapokezi mazuri kwenye biashara ambayo ni mpya kwenye bara la Afrika, nchi ya Afrika inayounda magari. Kampuni inaitwa Kantanka Group na mpaka sasa wanaweza kutengeneza magari mapya mia moja kila […]

The post Sema Ghana wametisha sana na hii kampuni inayotengeneza magari.. ( picha 14 ) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: GHARAMA NDOGO KABISA YA KUSAJILI KAMPUNI HII HAPA

Na  Bashir  Yakub.Kutokana  na  maendeleo  ya  biashara  duniani  kote  imekuwa  ni vigumu  sasa  kufanya  biashara  nje  ya kampuni.  Hii  ni  kwasababu  kila  kampuni  au  taasisi  utakayotaka  kufanya  nayo  biashara   iwe  kununua  kwao  au  kuuza  kwao  basi  kitu  cha  kwanza  watakachokwambia  ni  kuwa  hatufanyi  biashara  na watu  binafsi.  
Zipo  biashara  ambazo    watu  wengi  bado  wanazifanya  nje  ya  kampuni   lakini  ukweli  ni  kuwa  biashara  hizo  kwa ulimwengu  wa...

 

9 years ago

Michuzi

WANAWAKE:JIVUNIE KURA YAKO NDANI YA JAMII EPUKA MCHEPUKO.

 HII NAFASI YA PEKEE NA ELEWA MAANA YA MABADILIKO WITO KWA WANAWAKE WOTE [WOMEN AS WINNERBREAD] ELISERENA KIMOLO MWENYEKITI UWT DMV NCHINI MAREKANI. 1.WITO KWA WANAWAKE WOTE.
Tumepata nafasi ya pekee mwanamke kuwa Makamu wa Rais,Mama Samia anafahamu fika matatizo ya mwanamke ndani ya familia,hivyo kwa mara ya kwanza huu ni ukombozi kwa mwanamket .
Tumepata mtetezi katika ngazi ya juu kwa sababu siku zote mwanamke ndie anayehusika zaidi na mambo ya familia , huku Nchini Marekani na nchi ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani