Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sema Ghana wametisha sana na hii kampuni inayotengeneza magari.. ( picha 14 )

Pamoja na hizi picha zaidi ya kumi kwenye hii post, inabidi ufahamu haya mambo matatu ya hii kampuni ya raia wa Ghana ambayo imeanza kupata mapokezi mazuri kwenye biashara ambayo ni mpya kwenye bara la Afrika, nchi ya Afrika inayounda magari. Kampuni inaitwa Kantanka Group na mpaka sasa wanaweza kutengeneza magari mapya mia moja kila […]

The post Sema Ghana wametisha sana na hii kampuni inayotengeneza magari.. ( picha 14 ) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wajua picha hii iliyovuma sana mtandaoni ilitoka wapi?

Picha hii ya mvulana anayeonekana kujiuliza maswali si haba akilini mwake akiwa na Mzungu imesambazwa mara nyingi sana mtandaoni.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Nimepapenda Ghana, Picha Hii Namdedicatia Mtu…...

Ikiwa ni siku tatu sasa tangu atue nchini Ghana,akionekana mwenye furaha tele, mwanadada Wema Sepetu akiwa Location na Van Vicker, aliweka picha hiyo hapo juu mtandaoni na akafunguka kuwa tayari ameshapapenda Ghana.

 kuandika maneno haya;

"Day 3... & Im loving Ghana already..... Silly us before we start shooting our next scene.... #NextBigThing#DayAfterDeath (D.A.D) starring Myself and Ghana's very own Van Vicker.... Let me nat forget he is also Directing it ey...."

Tena akaweka na...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU ''NIMEPAPENDA GHANA NA HII PICHA NI DEDICATION KWA MTU''

Ikiwa ni siku tatu sasa tangu atue nchini Ghana,akionekana mwenye furaha tele, mwanadada Wema Sepetu akiwa Location na Van Vicker, aliweka picha hiyo hapo juu mtandaoni na akafunguka kuwa tayari ameshapapenda Ghana.kuandika maneno haya;"Day 3... & Im loving Ghana already..... Silly us before we start shooting our next scene.... #NextBigThing#DayAfterDeath (D.A.D) starring Myself and Ghana's very own Van Vicker.... Let me nat forget he is also Directing it ey...."Tena akaweka na hii;Hapa ndipo...

 

11 years ago

Vijimambo

PICHA ZINAZOSEMA AINA YA KIONGOZI TUNAYEMUHITAJI,PICHA HIZI ZINAZUNGUMZA MENGI SANA.

Mwigulu akisikiliza kwa makini maombi ya Bibi huyu(Hakufahamika jina) katika kijiji cha Kibaya Jimboni Iramba.Mh.Mwigulu Nchemba akimsikiliza kwa makini mmoja ya wazee katika kijiji cha Mtekente Jimboni Iramba.Mh:Mwigulu Nchemba akisikiliza kwa makini hitaji la kijana huyu mlemavu wa miguu kijiji cha Songa-Iramba.Mapenzi kwa Watoto.Mwigulu akimsikiliza Mwananchi wake Mwenye Ulemavu wa Miguu."NIsaidie Mbunge wangu,Baiskel imechoka"MBunge akimsikiliza Mwananchi wake.Mwananchi wa kijiji cha...

 

11 years ago

Bongo Movies

PICHA: Tazama picha tano (5) kali sana za mwanadada Elizabeth Michael a.k.a LULU. Utazipenda.

Picha kwa hisani ya blog ya http://www.domozege.blogspot.com

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni zisipewe uegeshaji wa magari

Sababu kubwa za kampuni kuundwa ni kutengeneza faida itakayotokana na shughuli wanazofanya.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii

2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.


Monalisa on instagram
 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani