Utapeli mtandaoni washamiri Ghana
vijanawenye Umri wa chini ya miaka thelathini. Wanaendesha magari ya kifahari na mavazi ya bei kali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Utumikishaji watoto washamiri Geita
WILAYA ya Geita imebainika kuwa ni miongoni mwa maeneo ambayo utumikishwaji wa watoto wadogo kwenye maeneo ya migodini unazidi kushamiri. Hayo yamebainika katika utafiti uliofanywa na shirika lisilo la kiserikali...
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255F825900000578-2941812-Ghana_players_celebrate_in_front_of_coach_Avram_Grant_en_route_t-a-58_1423173831453.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FE1F400000578-2941812-PLayers_wait_on_the_pitch_as_a_helicopter_tries_to_control_an_ag-a-59_1423173831469.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FDBF800000578-2941812-Ghana_players_are_shielded_by_riot_police_after_being_pelted_by_-a-60_1423173831479.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jihadhari na utapeli huu
KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Mbaroni kwa tuhuma za utapeli
Na Upendo Mosha
SERIKALI wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, inamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Preygod Mmasi, kwa tuhuma za kujihusisha na utapeli kwa kutumia kivuli cha Ofisi ya Waziri Mkuu na kuwatapeli wawekezaji wilayani humo kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi wa Serikali.
Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa wilaya hiyo, Athoniy Mtaka ambaye pia ni Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilayani humo, alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa Juni mosi mwaka huu saa 3 usiku mkoani Arusha...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Amanda atumika kwa utapeli
Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.
Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.
Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod1v0atBWTFUgjNtebfz1g1i7u7JIg2Oa2MUAovk*t6M4T4lqVFuGcndGWfhQDWcJ3sCt6IQdB1nNjMd3laZFCxR/siwema22.jpg?width=650)
JOKATE ASAKWA KWA UTAPELI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgZJK5m3XczsgLyYgQHEJbFooNIoGdTLT1i9ywrEVITDeWOO9xIsEqISJMKsOdXLNdNjFgDkNP9YUfQrhk*O-UvM/gggggggggg.jpg?width=650)
FEROOZ MBARONI KWA UTAPELI