Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kwa tuhuma za utapeli

Na Upendo Mosha
SERIKALI wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, inamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Preygod Mmasi, kwa tuhuma za kujihusisha na utapeli kwa kutumia kivuli cha Ofisi ya Waziri Mkuu na kuwatapeli wawekezaji wilayani humo kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi wa Serikali.
Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa wilaya hiyo, Athoniy Mtaka ambaye pia ni Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilayani humo, alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa Juni mosi mwaka huu saa 3 usiku mkoani Arusha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FEROOZ MBARONI KWA UTAPELI

Mayasa Mariwata na Makongoro Ogin’g
Tena? Kwa mara nyingine staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho ametiwa mbaroni kwa utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kumpangisha nyumba jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Tony Noah kiasi cha zaidi ya Sh. milioni 3.2 kisha kuingia mitini ikielezwa kuwa nyumba hiyo ina mgogoro. Staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, ilidaiwa kwamba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa utapeli misikitini

KIJANA, John Charles, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Sitakishari, Dar es Salaam kwa tuhuma za utapeli kupitia misikiti. Tanzania Daima ilishuhudia kijana huyo akikamatwa na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa Mtaa...

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa ‘utapeli’ akijifanya mkuu CCP

Kamanda wa Polisi wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniJESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa eneo la Mwakilyambiti, kijiji cha Hungumalwa, wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Joseph Maliuta (27) kwa tuhuma za kujipatia Sh milioni 11 kwa wizi wa mtandao baada ya kujiita Mkuu wa Chuo cha Polisi Moshi (CCP), Matanga Mbushi.

 

9 years ago

Habarileo

71 mbaroni kwa tuhuma za uhalifu

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema limewakamata watu 71, silaha nne na dawa za kulevya katika oparesheni ya mwishoni mwa mwaka. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman Kova alisema Desemba 24 mwaka huu, maeneo ya Ubungo Kibo, Kinondoni, Polisi walipata taarifa kutoka kwa mwananchi ambapo walifanikiwa kumkamata mfanyabiashara, Peter Massawe (25).

 

10 years ago

Habarileo

Watatu mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard PaulPOLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mwanamke ambao wote ni wakazi wa Kijiji cha Mkindo wilayani Mvomero mkoani hapa kwa tuhuma za mauaji ya Huruma Naloloi (32) mkazi wa Mikocheni, Kata ya Dakawa kwa kutumia bunduki na kumpora pikipiki yake.

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa tuhuma za kuua mke

POLISI wilayani Igunga mkoani Tabora inamshikilia Athuman Kiula (49) kwa tuhuma za kumuua mke wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mlemavu

JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia Hamad Banda (42), Mkazi wa Ligula B, kwa tuhumu ya kumbaka msichana wa miaka 17 (jina linahifadhiwa), ambaye ni mlemavu wa akili. Akizungumza na...

 

10 years ago

Vijimambo

KAFULILA MBARONI KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila---JESHI la Polisi linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila kwa tuhuma za uchochezi, akiwataka wananchi wasichangie ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini.

Kafulila alikamatwa mapema jana asubuhi katika mji mdogo wa Nguruka wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, ambako alikuwa akifanya mikutano ya hadhara, kuelezea sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Escrow na kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari

JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani