Watatu mbaroni kwa tuhuma za mauaji
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mwanamke ambao wote ni wakazi wa Kijiji cha Mkindo wilayani Mvomero mkoani hapa kwa tuhuma za mauaji ya Huruma Naloloi (32) mkazi wa Mikocheni, Kata ya Dakawa kwa kutumia bunduki na kumpora pikipiki yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s72-c/image061%2B%25281%2529.jpg)
WATATU WATIWA MBARONI JIJII DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s400/image061%2B%25281%2529.jpg)
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s72-c/JESHI%2BLOGO.jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s320/JESHI%2BLOGO.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion iliyopo maeneo ya Ununio, Mbezi Beach wilaya ya kipolisi Kawe mkoa wa kipolisi wa Kinondoni aliyejulikana kwa jina la ANNA D/O MIZINGI, Miaka 48, Mfanyabiashara, Mkazi wa Boko.
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s72-c/unnamed+(51).jpg)
WATU WATANO (5) MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MADEREVA WAWILI WA BODABODA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s1600/unnamed+(51).jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watuhumiwa watatu ambao ni ALEX S/O LETEMA LEWENJE mweye umri wa miaka 20, Mkaguru, ANDREA S/O MAJUTO CHIGUNDULA mwenye umri wa miaka 24, Mkaguru na NABAKI S/O MAUNGO MWIGOE mwnye umri wa miaka 23, Mkaguru wote...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBO3zmYTl-A/VPWi_eJ8SoI/AAAAAAAHHT4/LohOaahrfsY/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
WATU WANNE MBARONI AKIWEMO M/KITI WA KIJIJI CHA IHANDA WILAYANI KONGWA DODOMA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YAKIHUSISHA IMANI ZA KISHIRIKINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eBO3zmYTl-A/VPWi_eJ8SoI/AAAAAAAHHT4/LohOaahrfsY/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Watu watatu wameuawa Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti yanayohusisha imani za kishirikina.
Akizungumzia matukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 01/03/2015 majira ya saa 01:00hrs katika kitongoji cha Golani, kijiji cha Masinyeti, kata ya Iduo, tarafa ya Mlali Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja...
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mchungaji Anglikana mbaroni tuhuma za mauaji
MCHUNGAJI mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Usharika wa Mfarasi kata ya Madilu wilayani Ludewa, mkoani Njombe, Petro Chambachamba (87) anashikiliwa Polisi akihusishwa kwenye kesi ya mauaji. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani, amesema jana kuwa Chambachamba pamoja na watu wengine wanane, wamekamatwa wakihusishwa na mauaji yaliyotokea Februari 25, mwaka huu saa 8 mchana katika kijiji cha Mfarasi.
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wananchi waua watatu kwa tuhuma za wizi
WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka wameuawa na wananchi wenye hasira kwa tuhuma za kuendesha uporaji kwa kuvunja nyumba za watu na kuiba.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Mbaroni kwa tuhuma za utapeli
Na Upendo Mosha
SERIKALI wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, inamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Preygod Mmasi, kwa tuhuma za kujihusisha na utapeli kwa kutumia kivuli cha Ofisi ya Waziri Mkuu na kuwatapeli wawekezaji wilayani humo kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi wa Serikali.
Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa wilaya hiyo, Athoniy Mtaka ambaye pia ni Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilayani humo, alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa Juni mosi mwaka huu saa 3 usiku mkoani Arusha...
9 years ago
Habarileo31 Dec
71 mbaroni kwa tuhuma za uhalifu
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema limewakamata watu 71, silaha nne na dawa za kulevya katika oparesheni ya mwishoni mwa mwaka. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman Kova alisema Desemba 24 mwaka huu, maeneo ya Ubungo Kibo, Kinondoni, Polisi walipata taarifa kutoka kwa mwananchi ambapo walifanikiwa kumkamata mfanyabiashara, Peter Massawe (25).
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mbaroni kwa tuhuma za kuilipua Chadema