Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utapeli ‘mkutano wa Ukawa, CCM’

Mkutano wa maridhiano uliokuwa umepagwa kufanyika jana mjini hapa kati ya CCM na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshindikana huku mwandaaji akitapeliwa Sh400,000.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkutano wa JK, Ukawa ni kishindo

Uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kutaka kukutana na viongozi wa vyama vya siasa vyenye wabunge kupitia muungano wao wa Kituo cha Demokrasia (TCD), umeibua mjadala katika sehemu mbalimbali nchini huku wasomi na wanasiasa wakitoa angalizo.

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UKAWA JANGWANI




Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MKUTANO WA UKAWA ZANZIBAR!

Umati wa Wazanzibar waliojitokeza katika mkutano wa Ukawa leo…

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa waukacha mkutano wa maridhiano

WAJUMBE wa Kamati ya Maridhiano ya Bunge Maalum la Katiba, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, wamekutana jijini Dar es Salaam, huku wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiukacha mkutano huo.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wavunja mkutano wa UKAWA

JESHI la Polisi jana limevunja mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa madai kuwa wanasambaza CD za uchochezi. Kuvunjwa kwa mkutano huo kunatokana na askari zaidi ya 20...

 

9 years ago

Habarileo

Mkutano Ukawa wakatishwa kwa vurugu

JESHI la polisi mkoani Mtwara jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kurejesha hali ya amani katika mkutano wa Chadema uliofanyika katika viwanja vya Mashujaa mjini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani