Utapeli ‘mkutano wa Ukawa, CCM’
Mkutano wa maridhiano uliokuwa umepagwa kufanyika jana mjini hapa kati ya CCM na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshindikana huku mwandaaji akitapeliwa Sh400,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Mkutano wa JK, Ukawa ni kishindo
9 years ago
Vijimambo30 Aug
MKUTANO WA UKAWA JANGWANI
Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZSu4J_XV1L4/default.jpg)
11 years ago
GPLTASWIRA ZA MKUTANO WA UKAWA ZANZIBAR!
11 years ago
Habarileo25 Jul
Ukawa waukacha mkutano wa maridhiano
WAJUMBE wa Kamati ya Maridhiano ya Bunge Maalum la Katiba, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, wamekutana jijini Dar es Salaam, huku wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiukacha mkutano huo.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-zXPgTBxOXl0/ViKPP4U4j5I/AAAAAAAAWk8/qqwcafm1YC8/s72-c/12088121_408382826020988_526534902756344926_n.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Polisi wavunja mkutano wa UKAWA
JESHI la Polisi jana limevunja mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa madai kuwa wanasambaza CD za uchochezi. Kuvunjwa kwa mkutano huo kunatokana na askari zaidi ya 20...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Mkutano Ukawa wakatishwa kwa vurugu
JESHI la polisi mkoani Mtwara jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kurejesha hali ya amani katika mkutano wa Chadema uliofanyika katika viwanja vya Mashujaa mjini hapa.