Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joanita akerwa na utapeli wa mastaa

MSANII wa filamu nchini, Fatuma Makame ‘Joanita’, amekerwa na kitendo kinachofanywa na ‘mastaa’ wa filamu kwa kubuni njia ya kuwatapeli watu wa mikoani kwa kisingizio cha kusaka wasanii wenye vipaji....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lulu akerwa na headline ya gazeti ‘Mastaa waliozaa watoto wenye sura mbaya’

Muigizaji wa filamu, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekerwa na makala iliyoandikwa na gazeti moja la nchini yenye kichwa cha habari ‘Watoto wa mastaa wenye sura mbaya.’ Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lulu ameandika: Hivi dunia Imekuwaje!? Hiki kichwa cha habari. Gazeti linalosomwa na mamilioni ya watu unaandika upuuzi kama huu!? Ni basi tu hao watu mliwaandika […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joanita aja na Yote ni Baba

MWIGIZAJI wa kike wa Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’, anakuja na filamu yake mpya na ya kwanza mwaka huu itwayo ‘Yote ni Baba’, yenye lengo la kutoa elimu kwa mama wa...

 

9 years ago

GPL

JOANITA:NIPISHENI MKONGWE NIMERUDI

 Mwigizaji aliyewahi kutamba katika sinema za Kibongo, Fatuma Makame ’Joanita’. Stori: Imelda Mtema I’AM back! Mwigizaji aliyewahi kutamba katika sinema za Kibongo, Fatuma Makame ’Joanita’ amefunguka kuwa baada ya kupumzika kwa muda katika mambo ya fi lamu, sasa amerejea upya hivyo wale wanaojiita mastaa wakae chonjo. kizungumza na Ijumaa Wikienda, Joanita ambaye alitamba na sinema kama Sikio...

 

9 years ago

Global Publishers

Joanita: Filamu zetu unaangalia hata na mkweo

Joanitacut561Msanii wa ‘long time’ kwenye ulimwengu wa uigizaji Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’ amesema kuwa, filamu zinazoandaliwa na kampuni inayoandaa na kusambaza filamu ya Hamdombe zinaangalia maadili kiasi kwamba, unaweza kuangalia ukiwa na mwanao au mkweo.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Joanita alisema kuwa wameona ni vyema kuandaa filamu za aina hiyo ili kutoharibu jamii lakini pia kuelimisha na kuburudisha bila kujali rika kama itakavyokuwa kwenye filamu yao mpya itakayotoka baada ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Joanita aipeleka Ijumaa Sexiest Girl, Dar Live

Joanitacut561Fatuma Makame ‘Joanita’.

ANDREW CARLOS
dhamini wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Fatuma Makame ‘Joanita’ ambaye ni Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, kampuni inayodili na uandaaji na usambazaji wa filamu Bongo amependekeza mshindi akatangazwe ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Krismasi na hivyo ndivyo itakavyokuwa.

Washiriki walioingia tatu bora ni Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Asha Salum ‘Kidoa’ na Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivyo mshindi atakuwa miongoni mwao.

Tukio hilo litakwenda...

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Jihadhari na utapeli huu

KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI

Stori: Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.Akizungumza na mwanahabari wetu,  Masogange alisema kuwa watu wanaotumia jina lake wakome Video Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’. kwa sababu wanamjengea hisia tofauti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani