Joanita akerwa na utapeli wa mastaa
MSANII wa filamu nchini, Fatuma Makame ‘Joanita’, amekerwa na kitendo kinachofanywa na ‘mastaa’ wa filamu kwa kubuni njia ya kuwatapeli watu wa mikoani kwa kisingizio cha kusaka wasanii wenye vipaji....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Lulu akerwa na headline ya gazeti ‘Mastaa waliozaa watoto wenye sura mbaya’
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Joanita aja na Yote ni Baba
MWIGIZAJI wa kike wa Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’, anakuja na filamu yake mpya na ya kwanza mwaka huu itwayo ‘Yote ni Baba’, yenye lengo la kutoa elimu kwa mama wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnT5wfGNAfOgzUkx-j4vc7H*wLkhKyrje7rUMTY7*XlIfZ9*6K6sYY-WUirn2u3sXqvL-R3yeKzplWGNN7-Of8tWlRmQoJK6/Joanitacut561.jpg?width=650)
JOANITA:NIPISHENI MKONGWE NIMERUDI
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Joanita: Filamu zetu unaangalia hata na mkweo
Msanii wa ‘long time’ kwenye ulimwengu wa uigizaji Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’ amesema kuwa, filamu zinazoandaliwa na kampuni inayoandaa na kusambaza filamu ya Hamdombe zinaangalia maadili kiasi kwamba, unaweza kuangalia ukiwa na mwanao au mkweo.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Joanita alisema kuwa wameona ni vyema kuandaa filamu za aina hiyo ili kutoharibu jamii lakini pia kuelimisha na kuburudisha bila kujali rika kama itakavyokuwa kwenye filamu yao mpya itakayotoka baada ya...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Joanita aipeleka Ijumaa Sexiest Girl, Dar Live
Fatuma Makame ‘Joanita’.
ANDREW CARLOS
dhamini wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Fatuma Makame ‘Joanita’ ambaye ni Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, kampuni inayodili na uandaaji na usambazaji wa filamu Bongo amependekeza mshindi akatangazwe ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Krismasi na hivyo ndivyo itakavyokuwa.
Washiriki walioingia tatu bora ni Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Asha Salum ‘Kidoa’ na Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivyo mshindi atakuwa miongoni mwao.
Tukio hilo litakwenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jihadhari na utapeli huu
KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI