Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOANITA:NIPISHENI MKONGWE NIMERUDI

 Mwigizaji aliyewahi kutamba katika sinema za Kibongo, Fatuma Makame ’Joanita’. Stori: Imelda Mtema I’AM back! Mwigizaji aliyewahi kutamba katika sinema za Kibongo, Fatuma Makame ’Joanita’ amefunguka kuwa baada ya kupumzika kwa muda katika mambo ya fi lamu, sasa amerejea upya hivyo wale wanaojiita mastaa wakae chonjo. kizungumza na Ijumaa Wikienda, Joanita ambaye alitamba na sinema kama Sikio...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mkishindwa nipisheni – Magufuli

Pg 2Na Elias Msuya

RAIS John Magufuli amewataka makatibu na manaibu makatibu wakuu walioapishwa jana kukubali ahadi ya uadilifu wa viongozi na asiyetaka akae pembeni.

Akizungumza baada ya kuwaapisha makatibu na manaibu makatibu wakuu katika Ikulu ya Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema hakuna aliyelazimishwa kula kiapo cha ahadi za uadilifu wa uongozi wa umma, hivyo asiyetaka akae pembeni.

“Tusije tukawa tunazungumza hapa kwa ‘generalization’ (kwa ujumla), lakini kumbe si wote wanakubali hayo...

 

10 years ago

GPL

MSUYA WA BSS: NIMERUDI KWENYE WOKOVU

Gabriel Ng’osha
MSHINDI wa shindano la Bongo Star Search (BSS) mwaka 2013, Emmanuel Msuya amefunguka kuwa hajafulia kama baadhi ya watu wanavyodai, isipokuwa ameamua kurudi kwenye wokovu kama awali. Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) mwaka 2013, Emmanuel Msuya. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko juzi, alisema wengi wanajua amefulia, lakini ukweli yupo vizuri na anaendelea na muziki kama kawaida na hivi...

 

10 years ago

GPL

Mrisho Ngassa: Nimerudi Yanga kuaga, naondoka

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa. Na Wilbert Molandi KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa, amesema kuwa amerejea kundini kuitumikia timu hiyo kwa moyo mmoja lakini kubwa zaidi ni kuwa anataka kuwaaga mashabiki wa Jangwani. Tangu siku kumi zilizopita, Ngassa hakuonekana Jangwani huku Katibu Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Kiboroha akisikika akisema wamedokezwa kuwa staa huyo amekwenda Afrika Kusini kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joanita aja na Yote ni Baba

MWIGIZAJI wa kike wa Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’, anakuja na filamu yake mpya na ya kwanza mwaka huu itwayo ‘Yote ni Baba’, yenye lengo la kutoa elimu kwa mama wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joanita akerwa na utapeli wa mastaa

MSANII wa filamu nchini, Fatuma Makame ‘Joanita’, amekerwa na kitendo kinachofanywa na ‘mastaa’ wa filamu kwa kubuni njia ya kuwatapeli watu wa mikoani kwa kisingizio cha kusaka wasanii wenye vipaji....

 

9 years ago

Global Publishers

Joanita: Filamu zetu unaangalia hata na mkweo

Joanitacut561Msanii wa ‘long time’ kwenye ulimwengu wa uigizaji Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’ amesema kuwa, filamu zinazoandaliwa na kampuni inayoandaa na kusambaza filamu ya Hamdombe zinaangalia maadili kiasi kwamba, unaweza kuangalia ukiwa na mwanao au mkweo.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Joanita alisema kuwa wameona ni vyema kuandaa filamu za aina hiyo ili kutoharibu jamii lakini pia kuelimisha na kuburudisha bila kujali rika kama itakavyokuwa kwenye filamu yao mpya itakayotoka baada ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Joanita aipeleka Ijumaa Sexiest Girl, Dar Live

Joanitacut561Fatuma Makame ‘Joanita’.

ANDREW CARLOS
dhamini wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Fatuma Makame ‘Joanita’ ambaye ni Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, kampuni inayodili na uandaaji na usambazaji wa filamu Bongo amependekeza mshindi akatangazwe ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Krismasi na hivyo ndivyo itakavyokuwa.

Washiriki walioingia tatu bora ni Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Asha Salum ‘Kidoa’ na Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivyo mshindi atakuwa miongoni mwao.

Tukio hilo litakwenda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mkongwe zaidi Marekani

Jeralean Talley, ni Mwanamke mkongwe zaidi nchini Marekani mmoja wa watu wachache waliozaliwa katika karne ya 19, amefikisha miaka 115.

 

11 years ago

Habarileo

Mji Mkongwe Zanzibar hatarini

MJI Mkongwe wa Zanzibar unadaiwa kuwa katika hatari ya kuondolewa kwenye ramani ya Hifadhi ya Urithi wa Kimataifa. Hali hiyo inatokana na hujuma zinazofanywa na watu wasiofahamika kwenye miundombinu yake, ikiwemo nguzo za taa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani