MSUYA WA BSS: NIMERUDI KWENYE WOKOVU

Gabriel Ng’osha MSHINDI wa shindano la Bongo Star Search (BSS) mwaka 2013, Emmanuel Msuya amefunguka kuwa hajafulia kama baadhi ya watu wanavyodai, isipokuwa ameamua kurudi kwenye wokovu kama awali. Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) mwaka 2013, Emmanuel Msuya. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko juzi, alisema wengi wanajua amefulia, lakini ukweli yupo vizuri na anaendelea na muziki kama kawaida na hivi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Sep
Msanii wa Nigeria kutumbuiza kwenye fainali za BSS Oct 9, mfahamu hapa
10 years ago
Bongo508 Sep
Walter Chilambo adai hajawahi kutumia milioni 50 za BSS kwenye muziki wake
10 years ago
Bongo515 Oct
Christian Bella adai fedha alizotunzwa kwenye fainali ya BSS ni shilingi milioni 3.2
10 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Runtown, Christian Bella, Navy Kenzo, Peter Msechu na Kala walivyotumbuiza kwenye BSS
10 years ago
Bongo531 Aug
Video: Salma wa BSS 2013 aungana na Mi Casa Cassper Nyovest, Donald, Oliver Mtukudzi kwenye Coke Studio SA
9 years ago
GPL
JOANITA:NIPISHENI MKONGWE NIMERUDI
10 years ago
GPL
Mrisho Ngassa: Nimerudi Yanga kuaga, naondoka
11 years ago
GPL
SHILOLE APEWA DARASA LA WOKOVU
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
PPF yatoa msaada kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi, Shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu jijini Dar

Meneja Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, (kushoto), na Afisa wa Fedha Mwandamizi wa Mfuko huo, Angel Mukasa, (kulia), na Mfanyakazi mwingine wa Mfuko huo, Omari Bundile, (wapili kushoto), wakigawa mafuta maalum yanayotumiwa na watu wenye ulemavu wa ngozi, pamoja na sare za shule na viatu kwa wanafunzi hawa wenye ulemavu wa ngozi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam leo Septemba 11, 2015. Katika kutekeleza sera ya mfuko ya kusaidia jamii,...