Msanii wa Nigeria kutumbuiza kwenye fainali za BSS Oct 9, mfahamu hapa
Msanii wa Nigeria, Runtown ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye fainali za shindano la Bongo Star Search, imefahamika. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Production na ambaye pia ni jaji mkuu wa shindano hilo, Rita Paulsen alipokuwa akijibu maswali ya mashabiki kwenye Instagram Jumatano hii. Madam Rita amedai kuwa pamoja na Runtown […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Bongo515 Oct
Christian Bella adai fedha alizotunzwa kwenye fainali ya BSS ni shilingi milioni 3.2
11 years ago
Bongo503 Jul
Shakira, Wycleif Jean na Carlos Santana kutumbuiza kwenye fainali ya kombe la dunia
9 years ago
Bongo529 Dec
Tekno wa Nigeria kutumbuiza jijini Dar kwenye mkesha wa mwaka mpya
![tekno-miles-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tekno-miles-1-300x194.jpg)
Msanii wa Nigeria anayefanya vizuri kwa sasa na hit song yake ‘Duro’, Tekno Miles anatarajiwa kutua jijini Dar es salaam wiki hii kwaajili ya kufunga mwaka na mashabiki wake wa Tanzania.
Tekno ambaye wiki chache zilizopita ameachia wimbo mpya ‘Wash’ unaoendelea kufanya vizuri, anatarajiwa kufanya show kwenye siku ya mwisho ya mwaka huu December 31, kwenye ukumbi wa King Solomon jijini Dar.
Kupitia akaunti yake ya Insta, Tekno aliyewahi kudaiwa kuwa na mahusiano na Agnes Masogange ameonesha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdoS3EEE6INmDbZFk3kBxYMU5jHGalLRWMAve8jXjsbOU23Coo2oQQX0dYrJ21vf12VOkiHWmDLt1RYLYxuOEUfw/12145567_1002042066485621_1118332033_n.jpg)
9 years ago
MichuziFAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziErick na Fred Omondi kutumbuiza Siku Ya Msanii
![](http://3.bp.blogspot.com/-hP1nocqZma8/VEDYHZQjAoI/AAAAAAAGrJ8/6fvu2wDUplY/s1600/Eric-Omondi.jpg)
Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones...
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Bitchuka, Sikinde kutumbuiza Siku ya Msanii kesho
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI mahiri nchini, Hassan Rehani Bitchuka, leo ataongoza kikosi kamili cha bendi ya Mlimani Park Orchestra kutoa burudani katika onyesho la kazi za wasanii katika viwanja vya Makumbusho, Posta, jijini Dar es Salaam.
Maonyesho hayo ni sehemu ya shamrashamra za kuelekea Tuzo za Siku ya Msanii, iliyozinduliwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Mlimani...