Shakira, Wycleif Jean na Carlos Santana kutumbuiza kwenye fainali ya kombe la dunia
Muimbaji mrembo mwenye asili ya Colombia, Shakira atatumbuiza kabla ya mechi ya fainali ya kombe la dunia itakayofanyika Rio de Janeiro,Brazil, July 13. Wengine watakaotumbuiza siku hiyo ni mcheza gitaa maarufu Carlos Santana na rapper Wyclef Jean. Shirikisho la soka duniani, FIFA limesema Shakira, ambaye atatumbuiza kwa mara ya tatu mfululizo kwenye fainali za kombe […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CoRdBJPldDKYNl06kbaI82rJfChXEPaAnIOtewvRQYC7ry4PKmokHrHE1frjlMlS-oouBuoV6iaERq0mCkq6M44/Shakiraworldcupclosingceremony.jpg)
SHAKIRA, WYCLEF JEAN KUIPAMBA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LEO USIKU
Shakira atapanda sejini kuimba wimbo wa "La la la (Brazil 2014)". WANAMUZIKI Shakira na Wyclef Jean, usiku wa leo wataongoza burudani katika fainali za Kombe la Dunia 2014 kati ya Ujerumani na Argentina. Staa wa Hip Hop kutoka Haiti, Wyclef Jean naye atakuwepo kutoa kburudani usiku huu. Mastaa wengine watakaoangusha burudani usiku wa leo ni pamoja na mpiga gitaa mahiri wa Mexico,… ...
10 years ago
Bongo514 Sep
Wycleif Jean kufanya collabo na Shaa na wasanii wa Coke Studio Africa
Muimbaji wa muziki na kiongozi wa kundi la zamani la Fugees, Wycleif Jean ametua jijini Nairobi, Kenya kwa mradi wa Coke Studio Africa. Msanii huyo kutoka Haiti atarekodi wimbo na wasanii mbalimbali wa Afrika akiwemo Shaa kama sehemu ya kipindi hicho. Shaa ameshare picha akiwa na Wycleif na kusema ndoto yake imetimia. “Wyclef…Dreams do come […]
10 years ago
Bongo506 Nov
Wyclef Jean kutumbuiza jukwaa moja na Shaa, Chidinma kwenye finali za Coke Studio, Kenya Jumamosi hii
Member wa kundi la miaka ya 90 Fugees, Wyclef Jean anatarajiwa kuwa nchini Kenya weekend hii, ambapo atatumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wengine wa Africa akiwemo Shaa kutoka Tanzania, katika fainali za msimu wa pili wa Coke Studio Africa. Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza kwenye fainali hizo ni pamoja na Chidinma wa Nigeria, Navio […]
11 years ago
GPL23 May
9 years ago
Bongo530 Sep
Msanii wa Nigeria kutumbuiza kwenye fainali za BSS Oct 9, mfahamu hapa
Msanii wa Nigeria, Runtown ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye fainali za shindano la Bongo Star Search, imefahamika. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Production na ambaye pia ni jaji mkuu wa shindano hilo, Rita Paulsen alipokuwa akijibu maswali ya mashabiki kwenye Instagram Jumatano hii. Madam Rita amedai kuwa pamoja na Runtown […]
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Barcelona fainali Kombe la dunia la Vilabu
Mshambuliaji Luis Suarez ameipeleka timu yake ya Barcelona, katika hatua ya fainali ya kombe la dunia la vilabu.
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Marekani kucheza fainali Kombe la Dunia
Marekani imekata tiketi kucheza fainali za Kombe la Dunia baada ya kuibwaga Ujerumani 2-0 katika mchezo wa nusu fainali
11 years ago
Mwananchi26 May
Costa hatarini kukosa fainali za Kombe la Dunia
Costa alicheza kwa dakika tisa mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa sababu ya kusumbuliwa na misuli.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGb-H5HwK1zta5Dj4AjPUMcq1s6l7siMwg8rRl09kINAL0pLpehxZ9YakrD6PwFsycqHalKMdSpni-KieTEJcL6m/kombeladunia.gif?width=650)
ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO
Mshambuliaji wa timu ya Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior ' Neymar '. John Joseph na mtandao NJIA ya kuelekea kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2014 inachongwa leo Ijumaa na kesho Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi nne za robo fainali.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania