Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAKIRA ATOA VIDEO YA WIMBO WAKE WA KOMBE LA DUNIA 2014 ‘LA LA LA’ AWASHIRIKISHA MESSI, PIQUE, NEYMAR

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia

Nyota wa Argentina Lionel Messi na nyota wa Brazil, Neymar ni miongoni mwa wachezaji 10 bora katika michuano ya mwaka huu, waliotajwa kuwania nafasi ya kuwa mchezaji bora wa Kombe la dunia 2014. FIFA jana jioni (July 11) imetoa orodha ya majina ya wachezaji 10 waliotajwa kuwania tuzo hiyo. Wachezaji wengine 7 kwenye orodha hiyo […]

 

11 years ago

GPL

KOMBE LA DUNIA 2014: NEYMAR, OSCAR WAICHINJA CROATIA

Neymar akishangilia bao lake la kwanza. Neymar akitupia bao la pili kwa mkwaju wa penalti. Marcelo (wa pili kulia) akijifunga…

 

11 years ago

GPL

SHAKIRA, WYCLEF JEAN KUIPAMBA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LEO USIKU

Shakira atapanda sejini kuimba wimbo wa "La la la (Brazil 2014)". WANAMUZIKI Shakira na Wyclef Jean, usiku wa leo wataongoza burudani katika fainali za Kombe la Dunia 2014 kati ya Ujerumani na Argentina. Staa wa Hip Hop kutoka Haiti, Wyclef Jean naye atakuwepo kutoa kburudani usiku huu. Mastaa wengine watakaoangusha burudani usiku wa leo ni pamoja na mpiga gitaa mahiri wa Mexico,… ...

 

11 years ago

Bongo5

Shakira, Wycleif Jean na Carlos Santana kutumbuiza kwenye fainali ya kombe la dunia

Muimbaji mrembo mwenye asili ya Colombia, Shakira atatumbuiza kabla ya mechi ya fainali ya kombe la dunia itakayofanyika Rio de Janeiro,Brazil, July 13. Wengine watakaotumbuiza siku hiyo ni mcheza gitaa maarufu Carlos Santana na rapper Wyclef Jean. Shirikisho la soka duniani, FIFA limesema Shakira, ambaye atatumbuiza kwa mara ya tatu mfululizo kwenye fainali za kombe […]

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014:Messi, Neymar, Mueller wasaka tuzo

Lionel Messi,Thomas Mueller na Neymar ni miongoni mwa wachezaji 10, waliotajwa kuwania tuzo ya kiatu cha dhahabu katika Kombe la Dunia mwaka huu.

 

11 years ago

Bongo5

Neymar kukosa kombe la dunia kutokana na kuvunjika mfupa

Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada ya mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya ushindi wa mabao mawili dhidi ya Colombia. Neymar akitokewa nje ya uwanja baada kuumia Neymar aligongwa upande wake wa nyuma dakika tano tu kabla ya mchuano […]

 

9 years ago

Mtanzania

Pique: Barcelona bila Lionel Messi hakuna kitu

Gerard PiqueBARCELONA, HISPANIA

BEKI wa Barcelona, Gerard Pique, amesema klabu hiyo bila ya mshambuliaji wake, Lionel Messi, haiwezi kufika kokote.

Barcelona juzi ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania, ambapo kwa sasa klabu hiyo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi na wapinzani wao Real Madrid ikishika nafasi ya nne.

Messi kwa sasa ni majeruhi ambapo atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili hivyo kwa sasa klabu hiyo imeanza kuyumba kutokana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shakira Atuhumiwa Kuiba Wimbo

mwimbaji mashuhuri, mama mwenye mvuto na kipaji kikubwa,yuko tuhumani.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Wyre atoa video ya wimbo alio-sample ‘Monie’ ya Kanda Bongo Man

Muimbaji wa Dancehall, Wyre a.k.a The Love Child kutoka Kenya ametoa video ya wimbo aliosample kutoka kwenye hit song ya mkongwe wa Soukous, Kanda Bongo Man wa ‘Monie’. Mwaka jana mwishoni Wyre alisema kuwa Kanda Bongo Man alimpa haki zote za kusample wimbo huo (Ingia hapa) ambao ameuchanganya na vionjo vya dancehall.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani