Shakira Atuhumiwa Kuiba Wimbo
mwimbaji mashuhuri, mama mwenye mvuto na kipaji kikubwa,yuko tuhumani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jan
Mwanamke atuhumiwa kuiba ‘kichanga’
MKAZI wa Bunju B, Grace Chapanga(34), anashikiliwa na Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja. Kamanda wa Kanda hiyo, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova alisema Chapanga alimuiba mtoto huyo, Veis Venus Desemba 27 mwaka jana katika maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Mwanamke atuhumiwa kuiba mtoto
![Mary Rappysn Ishabakaki, ana umri wa miaka minne.](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140716-WA0003.jpg)
Mwanamke mmoja mkazi wa Mchikichini, Mbagala jijini Dar es Salaam, Tatu Nyambwela (30) anashikiliwa na polisi baada ya kutuhumiwa kumuiba mtoto mchanga wa miezi mitatu.
Polisi pia inachunguza mtoto wake mwingine wa miaka sita anayeishi naye baada ya kudaiwa kuwa alimpata kwa njia ya udanganyifu.
Taarifa kutoka eneo hilo zinasema mwanamke huyo alikamatwa wiki...
11 years ago
Habarileo01 Feb
Msichana atuhumiwa kuiba mtoto
MKAZI wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Amina Mwasi (22), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kuiba mtoto wa kiume mwenye umri siku moja. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema wizi huo ulifanyika Januari 19, mwaka huu katika Zahanati ya Thawi wilayani Kondoa.
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Daktari atuhumiwa kuiba dawa Igunga
Na Abdallah Amiri, Igunga
MKUU wa wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, Elibariki Kingu, ameiagiza polisi wilayani kwake, kumkamata mganga aliyeuza dawa katika zahanati iliyoko kata ya Sungwizi, wilayani Igunga.
Kingu alitoa agizo hilo jana, alipotembelea kata ya Sungwizi, katika ziara za kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Alisema alishangazwa na taarifa za wananchi kuwa zahanati katika kata ya Sungwizi haina dawa kutokana...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi Dar atuhumiwa kuiba mtoto Mbeya
11 years ago
GPL23 May
9 years ago
Bongo503 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m
![taylor-swift_press-2013-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/taylor-swift_press-2013-650-300x194.jpg)
Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.
Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.
Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.
Braham anasema...
10 years ago
Bongo531 Jan
Shakira ajifungua mtoto wa pili wa kiume, Sasha
10 years ago
Bongo529 Aug
Shakira na boyfriend wake Gerard Piqué wanatarajia kupata mtoto wa pili