Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Dar atuhumiwa kuiba mtoto Mbeya

Polisi wa kike anayefanya kazi Kituo cha Polisi Ilala, Dar es Salaam amekamatwa jijini Mbeya kwa tuhuma za kuiba mtoto mchanga wa siku saba, Goodluck Salehe wilayani Kyela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mwanamke atuhumiwa kuiba mtoto

Mary Rappysn Ishabakaki, ana umri wa miaka minne.Hii picha ni mtoto Mary Rappyson Ishabakaki mwenye umri wa miaka 4 aliyepotea July 15, 2014. Picha hii haiusiani na habari hapo chini.
Mwanamke mmoja mkazi wa Mchikichini, Mbagala jijini Dar es Salaam, Tatu Nyambwela (30) anashikiliwa na polisi baada ya kutuhumiwa kumuiba mtoto mchanga wa miezi mitatu.

Polisi pia inachunguza mtoto wake mwingine wa miaka sita anayeishi naye baada ya kudaiwa kuwa alimpata kwa njia ya udanganyifu.

Taarifa kutoka eneo hilo zinasema mwanamke huyo alikamatwa wiki...

 

11 years ago

Habarileo

Msichana atuhumiwa kuiba mtoto

MKAZI wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Amina Mwasi (22), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kuiba mtoto wa kiume mwenye umri siku moja. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema wizi huo ulifanyika Januari 19, mwaka huu katika Zahanati ya Thawi wilayani Kondoa.

 

11 years ago

GPL

POLISI WA KIKE ANAYEDAIWA KUIBA MTOTO, HUYU HAPA!

Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya SIKU chache baada ya kukamatwa kwa askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 na picha yake kudaiwa ‘kuminyiwa’ na askari wenzake ili isionekane, hatimaye Ijumaa Wikienda limeinasa. Mwanamama ambaye ni askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 anayedaiwa kuiba mtoto wa jinsia ya kiume aliyefahamika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shakira Atuhumiwa Kuiba Wimbo

mwimbaji mashuhuri, mama mwenye mvuto na kipaji kikubwa,yuko tuhumani.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke atuhumiwa kuiba ‘kichanga’

MKAZI wa Bunju B, Grace Chapanga(34), anashikiliwa na Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja. Kamanda wa Kanda hiyo, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova alisema Chapanga alimuiba mtoto huyo, Veis Venus Desemba 27 mwaka jana katika maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Daktari atuhumiwa kuiba dawa Igunga


Na Abdallah Amiri, Igunga
MKUU wa wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, Elibariki Kingu, ameiagiza polisi wilayani kwake, kumkamata mganga aliyeuza dawa katika zahanati iliyoko kata ya Sungwizi, wilayani Igunga.
Kingu alitoa agizo hilo jana,  alipotembelea kata ya Sungwizi, katika ziara za kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Alisema alishangazwa na taarifa za wananchi kuwa zahanati katika kata ya Sungwizi haina dawa kutokana...

 

10 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kulawiti mtoto wa mkewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika shule moja ya sekondari wilayani Manyoni na inadaiwa alifanyiwa kitendo hicho juzi saa 6 usiku nyumbani kwao.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba atuhumiwa kulawiti mtoto wake

Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto

Polisi wanamshikilia mkazi wa Mjimwema Makambako kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa kiume mwenye umri ya miezi mitatu katika Hospitali ya Kibena, Njombe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani