Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba atuhumiwa kulawiti mtoto wake

Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Baba atuhumiwa kumuua mtoto wake, kisa mahari

Mkazi wa Kijiji cha Imwelo, Kata ya Buseresere, wilayani Chato mkoani Geita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumuua mtoto wake, Pole Faida (26) kwa kushirikiana na kaka yake.

 

10 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kulawiti mtoto wa mkewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika shule moja ya sekondari wilayani Manyoni na inadaiwa alifanyiwa kitendo hicho juzi saa 6 usiku nyumbani kwao.

 

10 years ago

Habarileo

Mkazi wa Makongo Juu atuhumiwa kulawiti

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Msose Michael (35) mkazi wa Makongo Juu Jijini Dar e Salaam kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili ambao aliwachukua kwa wazazi wao kwa ajili ya kazi za ndani.

 

11 years ago

GPL

SNURA AMWANIKA BABA WA MTOTO WAKE

Stori: GLADNESS MALLYA KWA mara ya kwanza msanii wa muziki nafi lamu Bongo,Snura Mushi amemwanika baba wa mtoto wake na  kusema ndiye mumewe mtarajiwa wa kufa na kuzikana. Pichani ni msanii wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi pamoja na baba "Hunter" wa mtoto wake wa kike.
Akipiga stori na Ijumaa, Snura alisema baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kutokana na ugomvi mkubwa waliokuwa nao yeye na mwanaume wake huyo...

 

10 years ago

Habarileo

Baba aomba msaada mtoto wake atibiwe

PAULO Msangawale anayesoma Shule ya Msingi Katusa, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ulemavu wa kudumu na sasa anaomba msaada wa matibabu zaidi.

 

10 years ago

Bongo5

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili

H.Baba amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili. Akizungumza na 255 ya XXL leo, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake. “Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa tena,” alisema. “Nikwambie kitu kimoja mimba […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Nani Huyu Anayemtibulia Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?!, Soma Alichokieleza

UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram

Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja...

 

9 years ago

MillardAyo

Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio)

Team nzima ya Leo Tena huwa inasogeza matukio mbalimbali ambayo yanatokea kwenye maisha ya mtaani ya kila siku kupitia ‘Hekaheka‘.. kona ya Hekaheka imekuja na stori ya kijana mmoja kutoka Moshi ambapo kijana huyo amekuta baba yake ameoa mchumba wake !! Jamaa huyo anasimulia kwamba alimtambulisha mpenzi wake kwa ndugu zake pamoja na baba yake, […]

The post Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Faiza akiri kuwa bado anampenda baba wa mtoto wake Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi

Mama wa mtoto wa Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph “Sugu” Mbilinyi , Faiza Ally amekiri kuwa bado anampenda baba wa mwanaye licha ya kuwa hawana uhusiano tena. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Faiza amepost picha ya Sugu akiwa amebeba mtoto na kushare hisia zake juu ya mzazi mwenzake, post ambayo aliifuta muda mfupi baadaye. Hiki […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani