Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Baba atuhumiwa kumuua mtoto wake, kisa mahari

Mkazi wa Kijiji cha Imwelo, Kata ya Buseresere, wilayani Chato mkoani Geita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumuua mtoto wake, Pole Faida (26) kwa kushirikiana na kaka yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Baba atuhumiwa kulawiti mtoto wake

Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 12 ataka kumuua mamake kisa ?

Mtoto wa miaka 12 ameshtakiwa kwa jaribio la kumuua mamake kwa kumpokonya iphone

 

11 years ago

Mwananchi

Baba adaiwa kumuua mtoto kwa kipigo

Mtoto mwenye umri wa miaka sita ameuawa kikatili, baada ya kudaiwa kupigwa na baba yake kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake.

 

5 years ago

CCM Blog

MTOTO WA MIAKA 17 MIKONONI MWA POLISI KWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAKE

 Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mtoto wa miaka 17 kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa  Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, alidai kuwa Mei 31, saa 12 alfajiri Kitongoji cha Manyani, Kata ya Mkalama wilayani Gairo, mtu aliyejulikana kwa jina la Issaya Lameck (41), maarufu kama Kusaganika, fundi Muwashi, aliuawa kwa kupigwa na mtoto wake mwenye miaka 17 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili).
Kamanda Mutafungwa...

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mwanawe

BABA mzazi anatuhumiwa kumuua mwanawe katika kijiji cha Igalla wilayani Ukerewe katika ugomvi wa shamba.

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kutaka kumuua trafiki

MKAZI wa Kijitonyama,jijini Dar es Salaam Cresence Nguzo (25) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua askari wa kikosi cha usalama barabarani.

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mama yake kwa fimbo

WATU wawili kutoka vijiji tofauti wilayani Rorya wanashikiliwa na polisi mmoja akituhumiwa kumuua mama yake mzazi kwa kumpiga na fimbo na mwingine kwa kumuunguza viganja binti yake akimtuhumu kuiba fedha.

 

11 years ago

GPL

SNURA AMWANIKA BABA WA MTOTO WAKE

Stori: GLADNESS MALLYA KWA mara ya kwanza msanii wa muziki nafi lamu Bongo,Snura Mushi amemwanika baba wa mtoto wake na  kusema ndiye mumewe mtarajiwa wa kufa na kuzikana. Pichani ni msanii wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi pamoja na baba "Hunter" wa mtoto wake wa kike.
Akipiga stori na Ijumaa, Snura alisema baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kutokana na ugomvi mkubwa waliokuwa nao yeye na mwanaume wake huyo...

 

10 years ago

Habarileo

Baba aomba msaada mtoto wake atibiwe

PAULO Msangawale anayesoma Shule ya Msingi Katusa, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ulemavu wa kudumu na sasa anaomba msaada wa matibabu zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani