Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkazi wa Makongo Juu atuhumiwa kulawiti

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Msose Michael (35) mkazi wa Makongo Juu Jijini Dar e Salaam kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili ambao aliwachukua kwa wazazi wao kwa ajili ya kazi za ndani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kulawiti mtoto wa mkewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika shule moja ya sekondari wilayani Manyoni na inadaiwa alifanyiwa kitendo hicho juzi saa 6 usiku nyumbani kwao.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba atuhumiwa kulawiti mtoto wake

Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.

 

11 years ago

Habarileo

Mkazi wa Mchinga atuhumiwa kubaka mwanawe

MKAZI wa kijiji cha Mchinga Namba Moja wilayani Lindi mkoani humo, Mohammedi Maji (71) anadaiwa kumbaka mtoto wa kambo wa miaka 7.

 

10 years ago

IPPmedia

State gives up on planned settlement project meant for Dar's Makongo Juu ...


State gives up on planned settlement project meant for Dar's Makongo Juu ...
IPPmedia
The government will no longer pursue development of the Makongo Juu planned settlement area citing 'negligence' among state officials as the reason behind the failure. Speaking to residents yesterday in Dar es Salaam, Lands, Housing and Human ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Miaka mitatu ya kumbukumbu ya Bella kufanyika leo Makongo juu

Untitled

Bella 3rd Anniversary – Programme 24 April 2015.doc 

 

11 years ago

Michuzi

MILIONI 319 ZAPATIKANA KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KATOLIKI LA MAKONGO JUU JIJINI DAR

 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka (katikati), akizungumza katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki la Makongo Juu  iliyofanyika kanisani hapo Juni 29-2014 jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, James Rugemalira, Mrs Rugemalira, Paroko wa Parokia ya Makongo Juu, Joseph Masenge, Mwakilishi wa Mkombozi Commecial Benki, Edina Lupembe na Respius Didace. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya...

 

11 years ago

CloudsFM

RAY C AENDELEA NA HARAKATI ZAKE,ATOA ELIMU JUU YA ATHARI ZA MADAWA YA KULEVYA KWA WANAFUNZI WA MAKONGO

STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ameendelea na harakati zake za kutoa elimu juu ya athari za madawa ya kulevya kwenye jamii. Hivi karibuni msanii huyo kupitia Ray C Faundatiaon alitembelea shule ya sekondari ya Makongo na kutoa elimu juu ya athari za madawa hayo kwa wanafunzi wa shule hiyo.Kupitia account yake ya Instagram aliandika hivi…Ray C Foundation ikitoa Elimu Juu ya athari za madawa ya kulevya katika shule ya secondary Makongo......na Ina mpango wa kuzunguka shule zote za...

 

11 years ago

Daily News

Six killed, 12 others injured in Makongo accident


Six killed, 12 others injured in Makongo accident
Daily News
AT LEAST six people died and twelve others were seriously injured following an accident that involved two commuter buses 'daladalas ' at Makongo area along Bagamoyo Road in Dar es Salaam on Saturday. Confirming the accident, the Kinondoni Regional ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani