Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka mitatu ya kumbukumbu ya Bella kufanyika leo Makongo juu

Untitled

Bella 3rd Anniversary – Programme 24 April 2015.doc 

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU MIAKA MITATU YA MWANAHABARI MWANGOSI

Aliyekuwa Katibu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa Frank Leonard (Kulia) akifungua mkutano mkuu wa IPC jana katika ukumbi wa Maktaba ya Iringa katikati ni Daud Mwangosi ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa IPC akifikiri jambo.Aliyekuwa mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi (kushoto) akihojiwa na mzee wa matukio daima Bw Francis Godwin  ambaye alikuwa ni katibu msaidizi wa IPC juu ya wanahabari kudumisha umoja na mshikamano wakati wa uhai wake.

Mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoa wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Leo ni Miaka 19 ya Kumbukumbu ya ajali ya MV Bukoba

bk2

 

Pichani ni mnara wa kumbukumbu ya eneo ambalo walizikwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba hiyo mnamo Mei 21.1996.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Kila mwaka  ifikapo Mei  21, kama siku ya leo watanzania tunakumbuka  tukio la ajali mbaya iliyowahi kutokea katika nchi yetu ya kuzama kwa meli ya MV Bukoba ndani ya ziwa Victoria, mnamo mwaka 1996. Kwa hali hiyo watanzaia tunaendelea kuwaombea ndugu  na jamaa waliotangulia mbele za haki.

Mtandao wako bora wa habari wa...

 

10 years ago

Vijimambo

LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME

Leo April 7, 2015 ni kumbukumbu ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Aman Karume tangu alipouwawa kwa kupigwa risasi siku kama ya leo mwaka 1872.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika leo mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam

unnamed (7)
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo,  jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan siku ya leo Desemba 30. 

Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii,  kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.

Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un

 

10 years ago

Habarileo

Mkazi wa Makongo Juu atuhumiwa kulawiti

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Msose Michael (35) mkazi wa Makongo Juu Jijini Dar e Salaam kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili ambao aliwachukua kwa wazazi wao kwa ajili ya kazi za ndani.

 

9 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA MIAKA 3 YA MZEE BUKUMBI YAFANYIKA BUPANDWAMHELA LEO

Picha ya marehemu James Bukumbi ikiwa mbele ya waumini wakati wa ibada. Padri George Nzungu ambaye ni Paroko wa Parokia ya Mt. Kizito, Kabila, Magu akiongoza ibada ya kumbukumbu ya miaka 3 ya mzee Bukumbi.…

 

9 years ago

Vijimambo

LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE

Mwalimu Nyerere alikuwa na uwezo wa kuona mbali, hata alipopingwa baadaye waliompinga walikiri ukweli wa maono yake. 
By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.

Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...

 

10 years ago

IPPmedia

State gives up on planned settlement project meant for Dar's Makongo Juu ...


State gives up on planned settlement project meant for Dar's Makongo Juu ...
IPPmedia
The government will no longer pursue development of the Makongo Juu planned settlement area citing 'negligence' among state officials as the reason behind the failure. Speaking to residents yesterday in Dar es Salaam, Lands, Housing and Human ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani