Miaka mitatu ya kumbukumbu ya Bella kufanyika leo Makongo juu
Bella 3rd Anniversary – Programme 24 April 2015.doc
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi02 Sep
KUMBUKUMBU MIAKA MITATU YA MWANAHABARI MWANGOSI
![DSCF1794](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/czMdVWIy3rfaSm5gViTDix93BqeQrg6bL_rLd80CERdQWBbG-1HJfbC13NqVdRpWTajBCaqC6glctBii8VKsTLfxTLP7GzzrIiNkuXqtxK3BTX_KszC2nvw=s0-d-e1-ft#http://sundayshomari.files.wordpress.com/2012/09/dscf1794.jpg?w=584)
![DSCF1819](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/W2PO6VtXR74u-0C3fkI0aIVWBJJwLIs4xXnpVUnXwwYdaxQFMW1VJXixzwP_VzpFs2E7STsIiJ6IW7GEeh-iNMuo_MY0kW2xsHq3t9CPV4aKPioBDFDSY5k=s0-d-e1-ft#http://sundayshomari.files.wordpress.com/2012/09/dscf1819.jpg?w=584)
Mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoa wa...
10 years ago
Dewji Blog21 May
Leo ni Miaka 19 ya Kumbukumbu ya ajali ya MV Bukoba
Pichani ni mnara wa kumbukumbu ya eneo ambalo walizikwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba hiyo mnamo Mei 21.1996.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Kila mwaka ifikapo Mei 21, kama siku ya leo watanzania tunakumbuka tukio la ajali mbaya iliyowahi kutokea katika nchi yetu ya kuzama kwa meli ya MV Bukoba ndani ya ziwa Victoria, mnamo mwaka 1996. Kwa hali hiyo watanzaia tunaendelea kuwaombea ndugu na jamaa waliotangulia mbele za haki.
Mtandao wako bora wa habari wa...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME
![](http://i.ytimg.com/vi/0shB_WGlYeU/hqdefault.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika leo mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo, jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan siku ya leo Desemba 30.
Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii, kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un
10 years ago
Habarileo24 Aug
Mkazi wa Makongo Juu atuhumiwa kulawiti
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Msose Michael (35) mkazi wa Makongo Juu Jijini Dar e Salaam kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili ambao aliwachukua kwa wazazi wao kwa ajili ya kazi za ndani.
9 years ago
GPLKUMBUKUMBU YA MIAKA 3 YA MZEE BUKUMBI YAFANYIKA BUPANDWAMHELA LEO
10 years ago
Vijimambo14 Oct
9 years ago
Vijimambo14 Oct
LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2912672/highRes/1147061/-/maxw/600/-/l336uv/-/Nyerere.jpg)
By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.
Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...
10 years ago
IPPmedia16 Jun
State gives up on planned settlement project meant for Dar's Makongo Juu ...
IPPmedia
The government will no longer pursue development of the Makongo Juu planned settlement area citing 'negligence' among state officials as the reason behind the failure. Speaking to residents yesterday in Dar es Salaam, Lands, Housing and Human ...