Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkazi wa Mchinga atuhumiwa kubaka mwanawe

MKAZI wa kijiji cha Mchinga Namba Moja wilayani Lindi mkoani humo, Mohammedi Maji (71) anadaiwa kumbaka mtoto wa kambo wa miaka 7.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mwanawe

BABA mzazi anatuhumiwa kumuua mwanawe katika kijiji cha Igalla wilayani Ukerewe katika ugomvi wa shamba.

 

11 years ago

Habarileo

Mkazi wa Makongo Juu atuhumiwa kulawiti

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Msose Michael (35) mkazi wa Makongo Juu Jijini Dar e Salaam kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili ambao aliwachukua kwa wazazi wao kwa ajili ya kazi za ndani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana aunguruma jimbo la Mchinga

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Mchinga Ndugu Said Mtanda wakati wa mapokezi yake yaliyofanyika Kitomanga  Mkwajuni jimboni hapo wilaya ya Lindi vijijini.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa jimbo la Mchinga waliojitokeza kumpokea.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum wa mapokezi kutoka kikundi cha uhamasishaji cha CCM Mchinga mara baada ya kuwasili Kitomanga Mkwajuni jimbo la...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA NA UJUMBE WAKE WAFUNIKA JIMBO LA MCHINGA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Milola jimbo la Mchinga ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa sera mbadala matokeo yake wamekuwa wakitumia muda mwingi kuishambulia CCM Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM ,Mbunge wa Jimbo la Mtama na mlezi wa wilaya Kilwa na Waziri wa Mambo ya Nje Ndugu Bernard Membe akiwasalimia wakazi wa Milola waliojitokeza kwa wingi kuja kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman. Sehemu ya wananchi wakifuatilia mkutano. Katibu...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA SALMA KIKWETE KWENYE MIKUTANO YA KAMPENI MCHINGA NA LINDI MJINI.

1 Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ndugu Jordan Rugimbana mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Lindi kwa ziara ya kikazi mkoani humo tarehe 8.10.2015.2Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC anayewakilisha wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akisalimiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Jimbo la Mchinga waliokusanyika kwenye Kijiji cha Kikomolela Kata ya Matimba kwa ajili ya mkutano wa kampeni kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara ya naibu waziri wa Maji Amos Makalla jimbo la Mchinga-Lindi

Naibu waziri wa Maji Amos Makalla ameendelea na ziara katika mkoa wa Lindi na leo amefanya ziara katika jimbo la Mchinga kwa kutembelea vijiji vya Kitohavi na LIHIMILO ambavyo vina shida ya maji kwa muda mrefu huku serikali ikiwa ameviweka vijiji hivyo katika mpango wa Matokeo ya haraka Akiongea katika mikutano ya hadhara ameagiza uongozi wa halmashauri ya Lindi kuchimba visima virefu ndani ya wiki mbili kwa kuwa wizara yake ilishatuma fedha za kuchimbia visima hivyo na haoni sabababu za...

 

11 years ago

GPL

WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI

Afisa wa polisi akisimamia mizigo ya abiria waliokuwa wakisafiri katika basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea na kupata ajali katika kijiji cha Mchinga mkoani Lindi. Abiria 21 wamejeruhiwa na wamelazwa kwa matibabu katika hospitali ya mkoa Lindi.
Basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea baada ya ...

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara adaiwa kubaka

MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee kortini kwa kubaka

WAZEE wawili akiwemo mlinzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti  wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani