Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee kortini kwa kubaka

WAZEE wawili akiwemo mlinzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti  wanafunzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kaka, dada kortini kwa kubaka

WATU wawili, kaka na dada yake wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi kwa tuhuma za kushirikiana kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12. Waliofikishwa mahakamani ni Alfred...

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa kubaka

MAHAKAMA ya hakimu mkazi wilaya ya Shinyanga, imemtupa jela mkazi wa kijiji cha Ilobashi wilaya ya Shinyanga Vijijini miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanafunzi wa kidato cha pili.

 

9 years ago

Habarileo

Jela miaka 60 kwa kubaka shemejiye

MKAZI wa Tabata Msimbazi, Dar es Salaam, Goodluck Aloyce (31) wiki hii ameanza kifungo cha miaka 60 jela baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumlawiti shemeji yake mwenye umri wa miaka 11 mara kwa mara.

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa kosa la kubaka

MAHAKAMA Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemtia hatiani mkazi wa Kijiji cha Mpimbwe wilayani Mlele , John Joseph ( 30) na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 65.

 

10 years ago

Habarileo

Sita washikiliwa na Polisi kwa kubaka

WATU sita wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40.

 

10 years ago

Mwananchi

Mlinzi Jela miaka 30 kwa kubaka

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani imemuhukumu Steven Solomoni (29), mkazi wilayani humo kwenda jela miaka (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mfanyakazi wake wa ndani mwenye umri wa miaka(16).

 

10 years ago

Mwananchi

‘Houseboy’ jela maisha kwa kubaka mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu kifungo cha maisha mfanyakazi wa ndani, Habibu Adamu (20) baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka sita na kumsababishia maumivu.

 

11 years ago

Habarileo

Madereva bodaboda wadaiwa kubaka kwa zamu

WAENDESHA bodaboda wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kwa tuhuma ya kumbaka msichana kwa zamu na kisha kumwekea mchanga katika sehemu zake za siri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani