Kaka, dada kortini kwa kubaka
WATU wawili, kaka na dada yake wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi kwa tuhuma za kushirikiana kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12. Waliofikishwa mahakamani ni Alfred...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Wazee kortini kwa kubaka
WAZEE wawili akiwemo mlinzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YcvMs-3TPiK3AUAj6YKlbo*Hqb0C9Od74Kd75QjRs9nwxh06dEISIAMnzJeLOGn4RdOQZ3N4ZurTVikn1XzACV/e.jpg)
KAKA ADAIWA KUMTOROSHA DADA YAKE KWA MUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P1afYajBhxA3y2zQlAbVFpgNe4eAp0XepO2O346JAzlGRWPOUVr5dak8TMeLOiZgI5-EXMox-RR*l7Ntk6yJlM28hY2LsBso/BACKUWAZI.jpg)
DADA AMUUA KAKA YAKE KWA KISU KISA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQkBwHEfG2iS0w83qpUcQA884s3p0tOX96DyT2tlIsNBHrHNwbUL*QFq6hqcSeKRTb4s88iIbjByMAjy8UP6Z1mh/kaka.jpg)
KAKA ASIMAMIA FUMANIZI LA DADA'KE!
11 years ago
Habarileo13 Feb
Dada amsaidia kaka kunajisi binti wa miaka 12
MKAZI wa mtaa wa Tambukareli wilayani Mpanda, Helen Simon (20) anashikiliwa Polisi na kaka yake, Afred Mnyonge (24) kwa tuhuma za kumsaidia kaka huyo kumnajisi msichana jirani yao, mwenye umri wa miaka 12.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZYg5Hkfi1kX8pVqfmtQY3vr2MsI3eeX0jM-fligDo5rMceWqGxb3Z86i*9lToN4pF8LY0Gs06vm22yQGE492*QO/jde.jpg)
JIDE: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA!
10 years ago
Habarileo13 Mar
Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.
11 years ago
Habarileo24 Jan
Jela miaka 30 kwa kubaka
MAHAKAMA ya hakimu mkazi wilaya ya Shinyanga, imemtupa jela mkazi wa kijiji cha Ilobashi wilaya ya Shinyanga Vijijini miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanafunzi wa kidato cha pili.
9 years ago
Habarileo25 Aug
Jela miaka 60 kwa kubaka shemejiye
MKAZI wa Tabata Msimbazi, Dar es Salaam, Goodluck Aloyce (31) wiki hii ameanza kifungo cha miaka 60 jela baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumlawiti shemeji yake mwenye umri wa miaka 11 mara kwa mara.