Neymar kukosa kombe la dunia kutokana na kuvunjika mfupa
Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada ya mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya ushindi wa mabao mawili dhidi ya Colombia. Neymar akitokewa nje ya uwanja baada kuumia Neymar aligongwa upande wake wa nyuma dakika tano tu kabla ya mchuano […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
KOMBE LA DUNIA 2014: NEYMAR, OSCAR WAICHINJA CROATIA
11 years ago
Mwananchi26 May
Costa hatarini kukosa fainali za Kombe la Dunia
11 years ago
GPL23 May
11 years ago
Bongo512 Jul
FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia
9 years ago
Bongo522 Dec
Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake

Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.
Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.
Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...
10 years ago
Michuzi.jpg)
WATANO WATHIBIKA KUFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM KUTOKANA NA MAFURIKO
.jpg)
1. Mnamo tarehe 06/05/2015 majira ya saa moja kamili usiku huko maeneo ya Magomeni Kinondoni jijini Dar es Salaam mtu mmoja jina SHABAN S/O IDD, Miaka 73, Mkazi wa Manzese alisombwa na maji ya mto...
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Coronavirus: Je dunia imepata funzo gani kutokana na mlipuko wa Ebola DRC?
10 years ago
Vijimambo
WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL




5 years ago
Michuzi
Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China

Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.
Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...