KOMBE LA DUNIA 2014: NEYMAR, OSCAR WAICHINJA CROATIA
![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3cwp*uHR05mAe4uUUk6c4h1WGffKvKA-DOe1vN-FfQhJwMQ1cNjXoT5W5tTL7sJGALszfmFzZcMzq*j-SrgtA1/neymar.jpg)
Neymar akishangilia bao lake la kwanza. Neymar akitupia bao la pili kwa mkwaju wa penalti. Marcelo (wa pili kulia) akijifunga…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL23 May
11 years ago
Bongo512 Jul
FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia
Nyota wa Argentina Lionel Messi na nyota wa Brazil, Neymar ni miongoni mwa wachezaji 10 bora katika michuano ya mwaka huu, waliotajwa kuwania nafasi ya kuwa mchezaji bora wa Kombe la dunia 2014. FIFA jana jioni (July 11) imetoa orodha ya majina ya wachezaji 10 waliotajwa kuwania tuzo hiyo. Wachezaji wengine 7 kwenye orodha hiyo […]
11 years ago
Bongo505 Jul
Neymar kukosa kombe la dunia kutokana na kuvunjika mfupa
Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada ya mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya ushindi wa mabao mawili dhidi ya Colombia. Neymar akitokewa nje ya uwanja baada kuumia Neymar aligongwa upande wake wa nyuma dakika tano tu kabla ya mchuano […]
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I7GkAurPhS0/U5pG9NV4tqI/AAAAAAAFqNo/FyhTF39e8ko/s72-c/article-2656584-1EB74BF000000578-707_964x386.jpg)
kombe la dunia laanza kwa brazil kuichapa croatia 3-1 katika mchezo unaolalamikiwa kuwa wenyeji wamebebwa na refa
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7GkAurPhS0/U5pG9NV4tqI/AAAAAAAFqNo/FyhTF39e8ko/s1600/article-2656584-1EB74BF000000578-707_964x386.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Neymar, Oscar waipamba Brazil mechi ya ufunguzi
Mabao mawili ya Neymar na moja la Oscar yametosha kuwapa wenyeji wa Kombe la Dunia, Brazil ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Croatia, katika mchezo wa kufungua wa mashindano hayo jana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3xY8dpaHm57Y0N6pSMKZCaKrSh1jckLhYXMSCr-vEcvHMs0EZ*sUGvHdHdIKUzzHF*AMA-GhxQK3oi8nTtJTUk/4.gif?width=750)
11 years ago
BBCSwahili28 May
Miji ya Kombe la dunia 2014
Brasilia mji mkuu wa Brazil ni moja ya miji ambako mechi za kombe la dunia zitafanyika. Vinjari mji huu:
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmMCzzacTT2ClcsH4qzTpCbOMzb0JiMOT3IhfbNvYFirOGMw*gVqh0dqlLOWOo3glxtlxIaMMnHKDl4Yzp1sy4K/unnamed1.png?width=600)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqS1OBCzBfKfVG6MWerGTW1ZK2EaOkLl6rFH8QLyKNdj-2dFZ5hfJ5jID37FMTWcQ9qGfHYmFIcRKUHf70TzNxz/1.jpg)
UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2014
Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014. Robin van Persie akiifungia Uholanzi bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti katika dakika ya tatu ya mchezo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania