Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Costa hatarini kukosa fainali za Kombe la Dunia

Costa alicheza kwa dakika tisa mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa sababu ya kusumbuliwa na misuli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Neymar kukosa kombe la dunia kutokana na kuvunjika mfupa

Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada ya mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya ushindi wa mabao mawili dhidi ya Colombia. Neymar akitokewa nje ya uwanja baada kuumia Neymar aligongwa upande wake wa nyuma dakika tano tu kabla ya mchuano […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Barcelona fainali Kombe la dunia la Vilabu

Mshambuliaji Luis Suarez ameipeleka timu yake ya Barcelona, katika hatua ya fainali ya kombe la dunia la vilabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kucheza fainali Kombe la Dunia

Marekani imekata tiketi kucheza fainali za Kombe la Dunia baada ya kuibwaga Ujerumani 2-0 katika mchezo wa nusu fainali

 

11 years ago

GPL

ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO

Mshambuliaji wa timu ya Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior ' Neymar '. John Joseph na mtandao NJIA ya kuelekea kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2014 inachongwa leo Ijumaa na kesho Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi nne za robo fainali.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Owens kusimamia fainali Kombe la Dunia la Raga

Nigel Owens ndiye atakayekuwa mwamuzi kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Raga itakayochezwa Jumamosi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil

MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil

Kila zinapofanyika fainali za Kombe la Dunia, timu zinazoshiriki fainali hizo hupewa nafasi ya kuchagua hoteli na viwanja vya mazoezi vinavyokuwa vimeandaliwa kwa ajili ya kuweka kambi.

 

9 years ago

StarTV

 Kombe la Dunia U-17: Mali, Nigeria kucheza fainali Jumapili.

Hatimaye ndoto ya timu mbili za Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 imetimia baada ya timu za taifa za Mali na Nigeria  Golden Eaglets kushinda mechi kwa vipigo vizito na kutinga fainali ya michuano hiyo nchini Chile.

Timu ya taifa ya Mali imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza  baada kuibuka  na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ubeligiji iliyokuwa ya kwanza kujipataia bao kupitia Jorn Vancamp baada ya kuihadaa ngome ya Mali na likiwa ni bao la kwanza kufungwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waafrika watano kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia 2014

Waamuzi wamechaguliwa kutokana na uwezo wao wa kuchezesha mechi, kuusoma na kuelewa mbinu za timu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani