SHAKIRA, WYCLEF JEAN KUIPAMBA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LEO USIKU

Shakira atapanda sejini kuimba wimbo wa "La la la (Brazil 2014)". WANAMUZIKI Shakira na Wyclef Jean, usiku wa leo wataongoza burudani katika fainali za Kombe la Dunia 2014 kati ya Ujerumani na Argentina. Staa wa Hip Hop kutoka Haiti, Wyclef Jean naye atakuwepo kutoa kburudani usiku huu. Mastaa wengine watakaoangusha burudani usiku wa leo ni pamoja na mpiga gitaa mahiri wa Mexico,… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo503 Jul
Shakira, Wycleif Jean na Carlos Santana kutumbuiza kwenye fainali ya kombe la dunia
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
10 years ago
Bongo506 Nov
Wyclef Jean kutumbuiza jukwaa moja na Shaa, Chidinma kwenye finali za Coke Studio, Kenya Jumamosi hii
11 years ago
GPL23 May
11 years ago
Michuzi
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo

Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...
11 years ago
GPL
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU