BAKHRESA ATUMIKA KUTAPELI...
![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0Bnfv9evCsnRqiWaOUOobwJj-fa2vYHnEEP0TUbh5sYLt0ZKuYnlODDsYCEY0gxHY3Idiwm77ugX-iWjaQBdP4-AT/baba.jpg)
Na Makongoro Oging’/Uwazi MFANYABIASHARA tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa (pichani), jina lake limetumika katika utapeli jijini Dar baada ya watu waliodai ni wafanyakazi wake kumrubuni mkazi wa Kariakoo, Mussa Mohammed kuvunja fremu yenye duka lake ili kupisha ujenzi wa maegesho ya magari, Uwazi limedokezwa. Mfanyabiashara tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa. Akizungumza na gazeti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQnNnjeiF2RdreM2kFVSd7RE8S55zlavJJSUbPKd5sBdu5niSevU7HyTKZPSXq2N0RvV4UultsYxFUW*Sgh1hZFa/snura.jpg)
SNURA ATUMIKA KUTAPELI
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Amanda atumika kwa utapeli
Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.
Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.
Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa4TmYeIFskLtyKcyYF9DQBK91MIS4Ev64My-QOwXL30bbj80cPMcIjFfCorTZLzBW*OkjN9zLK3Vwo*Exn7uArY/wolper.jpg)
WOLPER ATUMIKA KWENYE UTAPELI WA MAMILIONI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZAKDCUlcx6HHCQQ182nuCb7UVAa2HPeLWX2Bd3CJvbwcs5Sacb-k-kFB7TplpI40qAnNow*8WZK423U*WsUDHS/ISABELA.png)
ISABELLA ATUMIKA KUWAUZA WASICHANA MTANDAONI
9 years ago
Habarileo30 Nov
Bakhresa achunguzwa
KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...
9 years ago
TheCitizen04 Dec
Missing containers not ours-Bakhresa
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Bakhresa inavyochangia uchumi nchini
10 years ago
Vijimambo03 Mar
Bakhresa, Mo Dewji ni zaidi ya dhahabu
![](http://www.raiamwema.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/dewji.jpg?itok=hrQbpA67)
TANZANIA inaingiza fedha nyingi za kigeni kupitia wafanyabiashara wawili; Said Bakhresa na Mohamed Dewji kuliko fedha inazoingiza kupitia mauzo ya dhahabu nje ya nchi, imefahamika.Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, alisema jijini Dar es Salaam juzi Jumatatu kwamba kiasi cha fedha za kigeni zinazoingizwa na madini ya dhahabu kimeshuka kwa mwaka uliopita.Katika mada yake iliyoitwa The Importance of Economic Transformation (Umuhimu wa Mabadiliko ya Kiuchumi), Profesa...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa
*TRA yazuia makontena yake bandari kavu
*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.
Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu, iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...