Missing containers not ours-Bakhresa
Said Salim Bakhresa and Company yesterday refuted claims that it owned 329 containers whose records went missing from the Tanzania Revenue Authority (TRA), causing the suspension of the authority’s top boss and several others.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)02 Dec
12 held over missing containers
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
POLICE are holding 12 suspects over the 349 missing containers at the Dar es Salaam Port, including high-ranking officials from the Tanzania Revenue Authority (TRA) and several Salim Said Bakhresa Company Limited staff working at its Inland Container ...
9 years ago
Habarileo30 Nov
Bakhresa achunguzwa
KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0Bnfv9evCsnRqiWaOUOobwJj-fa2vYHnEEP0TUbh5sYLt0ZKuYnlODDsYCEY0gxHY3Idiwm77ugX-iWjaQBdP4-AT/baba.jpg)
BAKHRESA ATUMIKA KUTAPELI...
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)28 Nov
Containers with 300m/- logs impounded
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Ministry of Natural Resources and Tourism (MNRT) has impounded 31 contraband containers loaded with sandalwood logs valued at 300m/- reportedly destined for the Far East. View Comments. Addressing journalists in Dar es Salaam, the Permanent ...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Bakhresa inavyochangia uchumi nchini
10 years ago
Vijimambo03 Mar
Bakhresa, Mo Dewji ni zaidi ya dhahabu
![](http://www.raiamwema.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/dewji.jpg?itok=hrQbpA67)
TANZANIA inaingiza fedha nyingi za kigeni kupitia wafanyabiashara wawili; Said Bakhresa na Mohamed Dewji kuliko fedha inazoingiza kupitia mauzo ya dhahabu nje ya nchi, imefahamika.Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, alisema jijini Dar es Salaam juzi Jumatatu kwamba kiasi cha fedha za kigeni zinazoingizwa na madini ya dhahabu kimeshuka kwa mwaka uliopita.Katika mada yake iliyoitwa The Importance of Economic Transformation (Umuhimu wa Mabadiliko ya Kiuchumi), Profesa...
10 years ago
TheCitizen23 Nov
How to avoid the grave danger of unlocked containers
10 years ago
Daily News14 Aug
Minister calls for transport of containers by rail
Daily News
Daily News
THE Minister for Works, Dr John Magufuli, has reiterated that traffic on Morogoro Road from Dar es Salaam through Coast Region will only be eased with more use of the railway in transporting containers to Ruvu station. He made the call on Tuesday evening ...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa
*TRA yazuia makontena yake bandari kavu
*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.
Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu, iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...