Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Missing containers not ours-Bakhresa

Said Salim Bakhresa and Company yesterday refuted claims that it owned 329 containers whose records went missing from the Tanzania Revenue Authority (TRA), causing the suspension of the authority’s top boss and several others.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

12 held over missing containers


12 held over missing containers
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
POLICE are holding 12 suspects over the 349 missing containers at the Dar es Salaam Port, including high-ranking officials from the Tanzania Revenue Authority (TRA) and several Salim Said Bakhresa Company Limited staff working at its Inland Container ...

 

9 years ago

Habarileo

Bakhresa achunguzwa

KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...

 

10 years ago

GPL

BAKHRESA ATUMIKA KUTAPELI...

Na Makongoro Oging’/Uwazi
MFANYABIASHARA tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa (pichani), jina lake limetumika katika utapeli jijini Dar baada ya watu waliodai ni wafanyakazi wake kumrubuni mkazi wa Kariakoo, Mussa Mohammed kuvunja fremu yenye duka lake ili kupisha ujenzi wa maegesho ya magari, Uwazi limedokezwa. Mfanyabiashara tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa. Akizungumza na gazeti...

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

Containers with 300m/- logs impounded


Containers with 300m/- logs impounded
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Ministry of Natural Resources and Tourism (MNRT) has impounded 31 contraband containers loaded with sandalwood logs valued at 300m/- reportedly destined for the Far East. View Comments. Addressing journalists in Dar es Salaam, the Permanent ...

 

11 years ago

Mwananchi

Bakhresa inavyochangia uchumi nchini

Unapozungumzia uchumi na uwekezaji katika Tanzania huwezi kuiweka kando Bakhresa Group of Companies, kampuni inayomilikiwa na mfanyabiashara mzalendo Said Salim Bhakresa.

 

10 years ago

Vijimambo

Bakhresa, Mo Dewji ni zaidi ya dhahabu




TANZANIA inaingiza fedha nyingi za kigeni kupitia wafanyabiashara wawili; Said Bakhresa na Mohamed Dewji kuliko fedha inazoingiza kupitia mauzo ya dhahabu nje ya nchi, imefahamika.Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, alisema jijini Dar es Salaam juzi Jumatatu kwamba kiasi cha fedha za kigeni zinazoingizwa na madini ya dhahabu kimeshuka kwa mwaka uliopita.Katika mada yake iliyoitwa The Importance of Economic Transformation (Umuhimu wa Mabadiliko ya Kiuchumi), Profesa...

 

10 years ago

TheCitizen

How to avoid the grave danger of unlocked containers

It is not unheard of for freight containers in transit to veer off a speeding truck and quash a stationary or moving daladala, killing everyone on board.

 

10 years ago

Daily News

Minister calls for transport of containers by rail


Daily News
Minister calls for transport of containers by rail
Daily News
THE Minister for Works, Dr John Magufuli, has reiterated that traffic on Morogoro Road from Dar es Salaam through Coast Region will only be eased with more use of the railway in transporting containers to Ruvu station. He made the call on Tuesday evening ...

 

9 years ago

Mtanzania

Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa

Screen Shot 2015-07-16 at 8.18.52 PM*TRA yazuia makontena yake bandari kavu

*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.

Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu,  iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani